Monday, May 7, 2012

KISA CHA WANYASA NA SUTI!!!


Habari za jioni jamani!
Baada ya kuweka hiyo picha ya suti leo, nimetumiwa hiki kisa cha suti cha wanyasa na msomaji pia kaka yangu wa hiari Che Jiah. Nimecheka kweli nikaona si vizuri kucheka peke yangu. Nimeona niweke hapa ili tuvunje mbavu pamoja.Tusinyimane uhondo ..Haya karibuni
-------------------------------------------------------------------------------------------------------
HAPO ZAMANI WANYASA WALIKUWA HAWAPENDI KUVAA SUTI LAKINI KILA SIKU WALIKUWA WANAMWONA RAIS WAO ENZI HIZO KAMUZU BANDA YEYE ALIPENDA SANA KUVAA SURUALI YAANI KAPTULA YEUPE NA SHATI JEUPE. SIKU MOJA ALIVAA SUTI, SIKU  ALIPOTEMBELEWA NA MALKIA WA UINGEREZA. ENZI HIZO BASI NAE ALIVAA SUTI AKAPENDEZA SANA. HIVYO TOKA SIKU HIYO WANYASA WALIKUWA TAYARI KUVAA SHATI LAZIMA TAI NA SUTI. IKIBIDI HATA KAMA SUTI IMECHANIKA, LAIZIMA ATINGE TAI TUU. NA MPAKA LEO UKIENDA MALAWI HUU NDIYO MVAO WAO
KWAHERI!
CHE JIAH.

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante kaka Che Jiah!