Hivi AMANI duniani imekwenda wapi? Maana sasa watu wanauana, wanachinjana na vita ndiyo kila kukicha. Je ndiyo mwisho wa dunia au Upendo na Amani vimetutoka? Ukikumbumba hasa kwa Afrika jinsi wote tilivyokuwa wamoja, wote tulivyokuwa kitu kimoja....Hivi vyote vimekwenda wapi...Naomba tujadili pamoja maana palipo na wengi pana mengi. Kapulya.