MAISHA NA MAFANIKIO
Monday, January 18, 2021
Monday, December 21, 2020
Thursday, November 26, 2020
Sunday, November 8, 2020
Monday, October 26, 2020
TUFANYA HII IWE PICHA YA WIKI HII...SEHEMU FULANI TANZANIA
Nimeipenda hii mandhari nzuri ..kuingalia tu yavutia. Kwa hiyo nafikiria je nikiwa/ukiwa hapo iitakuwaje...mmhh nawaza tu kwa sauti! TUPO PAMOJA DAIMA!
Friday, October 2, 2020
NAPENDA KUWATAKIENI MWISHO MWEMA WA JUMA NA MWANZO MWEMA WA MWEZI HUU WA KUMI KWA BURUDANI HII
<iframe width="560" height="315" src="https://www.youtube.com/embed/amL_MTCsOms" frameborder="0" allow="accelerometer; autoplay; clipboard-write; encrypted-media; gyroscope; picture-in-picture" allowfullscreen></iframe>
MWISHO WA JUMA UWE MWENYE AMANI NA FURAHA KWETU WOTE. TUSISAHAU KUWAOMBEA WAGONJWA WETU...
Friday, September 4, 2020
HII NI PICHA YA WIKI :- HAPA NIPO NA MARAFIKI TUPO SHAMBANI KWA WAKULIMA KUNUNUA MBOGAMBOGA BILA KUSAHAU MAHINDI
Nadhani hapo mwamuona kapulya wenu ... msione tumevaa makoto baridi imeanza
Hapa kapulya anashangaa mmea fulani ni raha sana kuwenda shambani na kuchuma mbogamboga na mkulima kazi yake ni kupanga bei tu...:-)
lebo:
mbogamboga,
picha ya wiki,
shamba
Saturday, August 29, 2020
Sunday, August 16, 2020
Sunday, July 12, 2020
PALE UNAOKOSA SEHEMU YA KULIMA MBOGA MBOGA/BUSTANI USIKATE TAMAA TUMIA NDOO AU MAKOPO KAMA NILIVYOFANYA MIMI HAPA
Hapa ni Nyanya, mchicha, Tangawizi Malimao, parachichi nk. Karibu tutaanza kula nyana mchicha nishakula mara nyingi tu
Friday, July 3, 2020
Saturday, June 20, 2020
JIONI YA JUMAMOSI YALEONIMEONA SI MBAYA KAMA TUKITEMBELEA KWETU MBAMBA BAY
Angalia mandhari ilivyo nadhani ukiwa hapa hutataka kutoka maana ni fukwe nzuri sana. Niwatakieni JIONI YA JUMAMOSI HII IWE YENYE UTULIVU MWANANA. Wenu Kapulya!
Sunday, June 14, 2020
Wednesday, June 3, 2020
Monday, May 25, 2020
USAFIRI WETU...AKINA MAMA TUNAWEZA
Nimeona tuanza wiki hii kinamna hii maana nadhani leo hap ni siku ya akina mama...kwa hiyo napenda pia kuwapa shukrani akina mama wote. Tuzidishe uaminifu maana ndiyo nguzo ya mafanikio.
Monday, May 11, 2020
UPUPU - MANGOTONGA CHAKULA CHA ASILI CHA WANYASA/WANGONI
JE? Wewe una chakula cha asili katika asili yako?
Friday, May 8, 2020
LEO NIMESHINDA NATAMANI HIVV VYAKULA MAANA NDIVYO VILIVYONIKUZA
Hapa ni mahindi ya kuchoma eeeh bwana weee acha tu
Dagaa na mboga maboga ni mboga tamu sana...
.....na bila kusahau ugali yaani natamani khali ya hewa iwe joto ili nianza kulima mbogamboga zangu
Thursday, April 16, 2020
NIMETUMIWA ZAWADI KUTOKA KWA KAKA YANGU ...KUTOKA MBINGA
Yaani mpaka raha .....utakula ulivyopanda... hii ni kazi ya mikono ya kakangu Philo huko Mbinga ni ndizi kama muuonavyo kwenye picha
pia kuna matunda ya passion
Karibuni sana kwetu Mbinga chakula kwa kwingi ...au sisi wangoni twasema chakula bwelele...
Monday, April 13, 2020
Tuesday, April 7, 2020
Saturday, March 28, 2020
TUMALIZE NA HII WIKI TUKIWA TUKITEMBELEA MAZINGIRA YA MAKAZI YANGU/YETU HAPO BAADAYE
HAPA NI BAADHI YA MINAZI YASEMEKANA NI MINAZI YA KISASA KWA HIYO KARIBUNI TUTAKULA NAZI:-)
HAPA NI NDIZI ...SI MWAJUA TENA BILA NDIZI SIJIWEZI KABISA
Na hapa ni baadhi ya miti ya MiPARACHICHI ...picha nyingine zaja karibuni....
Monday, March 16, 2020
TUANZE WIKI HII NA PICHA HII:- IWE PICHA YA WIKI
Nimepemda haya mazingira imenikumbusha niliokuwa msichana mdogo kule kwetu KINGOLE/LITUMBANDYÒS wakati nilipokuwa naenda kisimani kuteka maji. Je? wewe una kumbukumbu kama hii?
Friday, March 6, 2020
PICHA: MDADA YUPO KATIKA POZI LA KUSHUKA NGAZI!
Wednesday, March 4, 2020
VYAKULA NIPENDAVYO KULA NIWAPO HASA SEHEMU ZA BAHARI YA CHUMVI
SAMAKI NA VIAZI VYA KUPONDA
KAMBA KWA MKATE
CHAKULA CHA KIKUU CHA UISPANIA PAELLA NI WALI WA BINZARI NA KARIBU AINA ZOTE ZA SAMAKI
SAMAKI WA KUCHOMA NA AINA YA KACHUMBALI
KAMBA
SAMAKI WA KUCHOMA TENA NA VIAZI MAALUMU VYA KILE KISIWA PIA SALADI KIDOGO.
Friday, February 21, 2020
LEO NIMEONA TUTEMBELEE MBEYA YETU
Nimependa hii mandhari ..Hapa ni Mbeya . Basi mimi niwatakieni mwisho mwema wa juma kwa picha hii kwa yeyote atakayepita hapa na pia hata kama utasikia . Tupo pamoja Daima. Kapulya wenu!
Subscribe to:
Posts (Atom)