Nimeona nisiwe mchoyo karibuni tujumuike kwa mlo huu maalumu na mtamu pia mzito. Binafsi napenda zaidi mlo kama huu kuliko CHAI MIKATE (MABOFULA) ambayo ukila tu dakika kadhaa ni bonge la njaa tena. Halafu angalia viazi vilivyopikwa na maganda yake..Mmmmhhh ngoja niache maelezo na wengine waseme:-) PANAPO MAJALIWA!