Showing posts with label Vifaa vya kukobolea nafaka. Show all posts
Showing posts with label Vifaa vya kukobolea nafaka. Show all posts

Friday, November 30, 2012

TUNAKUMBUKA VIFAA HIVI VYA KUKOBOLEA NAFAKA ZETU TANGU HAPO KALE MPAKA SASA?!!!

Hapo kale kupata ugali uwe wa ulezi, mtama,mahindi au muhogo hiki ndo kilikuwa kinu cha kusagia ili kupata unga. Kama nakumbuka vizuri juzi tu nimeona huko India bado wanatumia kusagia mchele ili kupata unga wa mchele........
 
 Na baadae kikagundulika kinu kwa kukobolea nafaka na pia kupata unga kama vile wa muhogo nk.--
..na baadaye baadaye tukapata mashine ...na mikono ikawa inapumzika kidogo. Sijui  wenzangu mie binafsi nilikuwa mzembe sana hasa kukoboa mahindi. ...je? kuna kifaa kingine zaidi ya hapa unafiri?