Showing posts with label kumbikumbi. Show all posts
Showing posts with label kumbikumbi. Show all posts

Sunday, January 19, 2020

KUMBUKUMBU:- JUMAPILI HII YA TATU TANGU MWAKA UANZE NIMETAMANI SANA CHAKULA NINACHOKIPENDA NA KILICHONIKUZA


Chakula nikipendacho chaitwa likungu hupatikana hasa kando kando ya ziwa  nimekula sana wakati naishi ziwa nyasa 

na hapa ni kumbikumbi  kama hujaonja basi jitahidi uonje ni watamu sana

Monday, April 4, 2016

WIKI HII IMEANZA VIZURI KWANGU:- NIMETUMIWA ZAWADI ZA VYAKULA NIVIPENDAVYO:-)

 Kwanza Samaki kutoka  huko Mwanza ...jina nimesahau
 Halafu kumbikumbi
Na mwisho  ni BOGA  kwa kweli nimefurahi sana sana maana ni haswa baadhi ya vyakula nivipendavyo ambavyo naweza nikala kila siku bila kuchoka:-) Je? Wewe unayesoma/angalia hapa una chakula pia ukipendacho sanaaa? JUMATATU NJEMA KWA WOTE!!