![]() |
Chakula nikipendacho chaitwa likungu hupatikana hasa kando kando ya ziwa nimekula sana wakati naishi ziwa nyasa
na hapa ni kumbikumbi kama hujaonja basi jitahidi uonje ni watamu sana
|
Showing posts with label kumbikumbi. Show all posts
Showing posts with label kumbikumbi. Show all posts
Sunday, January 19, 2020
KUMBUKUMBU:- JUMAPILI HII YA TATU TANGU MWAKA UANZE NIMETAMANI SANA CHAKULA NINACHOKIPENDA NA KILICHONIKUZA
Monday, April 4, 2016
WIKI HII IMEANZA VIZURI KWANGU:- NIMETUMIWA ZAWADI ZA VYAKULA NIVIPENDAVYO:-)
Kwanza Samaki kutoka huko Mwanza ...jina nimesahau
Halafu kumbikumbi
Na mwisho ni BOGA kwa kweli nimefurahi sana sana maana ni haswa baadhi ya vyakula nivipendavyo ambavyo naweza nikala kila siku bila kuchoka:-) Je? Wewe unayesoma/angalia hapa una chakula pia ukipendacho sanaaa? JUMATATU NJEMA KWA WOTE!!
Subscribe to:
Posts (Atom)