

Hapa nataka kusema sio wamasai tu wanaishi kwenye nyumba kama hizi manyata kwani hata hapa Sweden kuna watu aina ya wamasai wanaitwa Samer wao ni maalufu sana kwa kufuga (rendeer) kulungu kwani wao wanaishi sehemu ya baridi sanaaaa. Na wamasai wetu wote tunajua maalufu kwa ufugaji wa ngómbe.