Showing posts with label taarifa. Show all posts
Showing posts with label taarifa. Show all posts

Wednesday, June 17, 2015

LINAONEKANA NI UA ZURI LAKINI NI HATARI SANA LINAWEZA KUUA MTOTO CHINI YA DAKIKA KUMI NA TANO

Kwa upendo jaribu kumpa taarifa ya ua hili  jirani, rafiki na ndugu zako ili wawe makini kwa ua hili. Basi ngoja mimi Kapulya niwatakieni siku njema  na tutaonana tena panapo majaliwa. Jumatano njema!!

Thursday, June 20, 2013

TAARIFA:- JANA JIONI NIMESHTUSHWA SANA NA MWONEKANO HUU WA BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO!!

Habari zenu ndugu zangu!
Jana jioni nilijikuta nashangaa au zaidi kama nimepotea pale nilipotembelea blog ya Maisha na Mafanikio. Nini kimetokea sijui kwa kweli ..Je kuna anayejua?...Natumaini ile rangi ya pink itarudi nawaomba kuwa na subira. Na endapo haitarudi basi nitafanya utafiti ni nini kimetokea na nitarekebisha.
Kama kunaanayejua nini kimetokea TAFADHALI tupeane habari.
NAWATAKIENI WOTE SIKU NJEMA.