Showing posts with label mafuta. Show all posts
Showing posts with label mafuta. Show all posts

Thursday, February 22, 2018

NIMEKUMBUKA KWETU KIJIJINI LUNDO ....

Kwetu kijijini Lundo hata mawese yapo. Tulikuwa tukiyale kama yalivyo:-) Lakini pia hukamuliwa mafuta ni mafuta mazuri sana kwa kupikia vyakula