Showing posts with label ramani. Show all posts
Showing posts with label ramani. Show all posts

Thursday, June 26, 2014

NIMEIPENDA RAMANI HII YA AINA HII YA AFRIKA...UBUNIFU HUO!!!

RAMANI YA AFRIKA
Imetengenezwa kwa kubandikizwa majani ya ndizi yaani ni asili kabisa ...ngoja niimbe na kawimbo haka ka afrika yetu:-
Mungu ibariki Afrika, Wabariki Viongozi wake,
Hekima Umoja na Amani, Hizi ni ngao zetu, Afrika na Watu wake,
Ibariki Afrika, Ibariki Afrika, Tubariki watoto wa afrika.
 
SIKU IWE NJEMA KWA WOTE...TUPO PAMOJA DAIMA

Friday, October 17, 2008

RAMANI YA TANZANIA NA MBUGA ZAKE


Naipenda nchi yangu, Tanzania ni nchi yenye amani katika Afrika.