Mwaka jana siku kama ya leo tulikuwa tunajumuika kwa karibu kabisa kushrehekea sikukuu hii na hapa mnaona baadhi ya picha tulizopiga....Ndizi aina: BUKOBA
Ndizi aina: JAMAICA
NA HAPA NI BIRINGANYA
Na hapa ni KABEJI AINA YA FI..Mambo yote haya yilifanyika katika mji wa Songea /MSAMALA......WAKULIMA OYEEEEE. NILIIFURAHIA SANA SIKU HII:-)