Showing posts with label sikukuu ya wakulima nanenane. Show all posts
Showing posts with label sikukuu ya wakulima nanenane. Show all posts

Wednesday, August 8, 2012

LEO TUNAADHIMISHA SIKUKUU YA WAKULIMA -NANENANE...MWAKA JANA 2011 MSAMALA/SONGEA!!!

 Mwaka jana siku kama ya leo tulikuwa  tunajumuika kwa karibu kabisa kushrehekea sikukuu hii na hapa mnaona baadhi ya picha tulizopiga....Ndizi aina: BUKOBA
 Ndizi aina: JAMAICA
 NA HAPA NI BIRINGANYA
Na hapa ni KABEJI AINA YA FI..Mambo yote haya yilifanyika katika mji wa Songea /MSAMALA......WAKULIMA OYEEEEE. NILIIFURAHIA SANA SIKU HII:-)