Showing posts with label vyakula vya asili. Show all posts
Showing posts with label vyakula vya asili. Show all posts
Wednesday, October 6, 2021
Sunday, October 13, 2019
VYAKULA AVIPENDAVYO KAPULYA...SAMAKI NA VYOTE VYA ASILI HASA VYA KUPIKIA KWENYE VYUNGU
Ni aina ya samaki kama hujaonja jaribu
Na hapa ni vyakula mbalimbali vya asili viöivyopikwa kwenye vyungu utamu wake ni ngumu kuelezea bora uonje mwenyewe.
Na hapa ni vyakula mbalimbali vya asili viöivyopikwa kwenye vyungu utamu wake ni ngumu kuelezea bora uonje mwenyewe.
Tuesday, February 20, 2018
Tuesday, September 12, 2017
VYAKULA AVIPENDAVYO KAPULYA WENU ...AU KUNA MWINGINE ANAPENDA KAMA MIMI??
NI WALI NA KUNDE...KWETU UNGONINI TWAITA (NGUNDI MANGI)
Baada ya chakula nilipenda sana haya matunda ...kwa mara nyingine tena kikwetu twaita MADONGA....
Nikikosa hivyo basi nakula uyoga....Je wewe kuna chakula hujala siku nyingi na sasa watamani kukila? Nawatakieni wote jioni njema!!!
Friday, March 31, 2017
KUMBUKUMBU...VYAKULA NIVIPENDAVYO..MWISHO WA JUMA PIA MWEZI UWE MWEMA....
Mboga ya maboga...Karibuni nitaanza bustani yangu hii ni kaka yangu kanitumia ili nitamani zaidi:-) na kweli nimetamani sana na mpaka nimepitiliza na kutamani .....
...ugali na mlenda pori..duh! nimekumbuka mbali sana.... kila la kheri na mwisho wa juma mwema pia mwishi wa mwezi...
Subscribe to:
Posts (Atom)