Thursday, April 16, 2020

NIMETUMIWA ZAWADI KUTOKA KWA KAKA YANGU ...KUTOKA MBINGA

Yaani mpaka raha .....utakula ulivyopanda... hii ni kazi ya mikono ya kakangu Philo huko Mbinga ni ndizi kama muuonavyo kwenye picha
pia kuna matunda ya passion
Karibuni sana kwetu Mbinga chakula kwa kwingi ...au sisi wangoni twasema chakula bwelele...

Monday, April 13, 2020

LEO TUTEMBELEE MBAMBA BAY......

Hapa ni ukumbi wa starehe hapa Mbamba bay kwetu...karibuni 

Tuesday, April 7, 2020