Ukisha muamini Mungu basi yatosha, ya walimwengu waachie wenyewe!!
BARAKA NA UPENDO WA BABA MUNGU MWENYEZI VWEE MIOYONI MWETU KILA WAKATI.
Showing posts with label mungu. Show all posts
Showing posts with label mungu. Show all posts
Sunday, September 6, 2015
Sunday, July 13, 2014
TUANZE JUMAPILI HII NA KIKOMBE CHA CHAI...NINYIME VITU VYOTE LAKINI SIO CHAI!!!
You´re Just my Cup of Tea,
Our Love Warms my Heart.
Najua wote mnajua mie ni mpenzi sana wa chai tena ile isiyo na sukari(Chingambu) :-).
BASI NIWATAKIENI WOTE JUMAPILI NJEMA SANA. UPENDO NA AMANI ITAWALE KATIKA NYUMBA ZETU.
Tuesday, June 24, 2014
KAKA S. ANAMPONGEZA MTOTO WAKE KWA KUPATA KOMONIO YA KWANZA
KILINDA SAMUEL MBOGO
Jumapili 22/6 Kijana Kilinda alipata komonio yake ya kwanza. Bahati mbaya sikupata nafasi kwenda kuhudhuria siku hii. Ila nimehudhuria kwa kuangalia picha kama muonavyo. Nimetumiwa picha nami nimeona niwashirikishe wenzangu maana baadhi yetu tunakumbuka sana siku hii...HONGERA SANA KILINDA SAMUEL MBONGO KWA SIKU HII...HII NI ZAWADI YANGU KWAKO....SHANGAZI YAKO YASINTA a.k.a Kapulya/kadala.
Sunday, May 18, 2014
JUMAPILI IWE NJEMA KWA WOTE...KWA KWAYA HII YA MT. THERESIA WA MTOTO YESU PAROKIA YA BIKIRA MARIA WA FATIMA -GEITA -MWANZA
JUMAPILI NJEMA SANA KWA WOTE. TUPENDANE SISI SOTE NI WATOTO WA BABA MMOJA!
Tuesday, December 24, 2013
SALAMU ZA CHRISTMAS KUTOKA KWA KAPULYA.....
Nawatakieni wote sikukuu hii ya Christmas/Noeli iwe yenye baraka, amani, upendo na furaha. Mwenyezi Mungu na awe pamoja nanyi kwa kila mtakachofanya. CHRISTMAS NJEMA/GOD JUL!!
Sunday, October 13, 2013
Sunday, September 22, 2013
JUMAPILI NJEMA KWA WOTE!!
Au pia tumsikiliza dada Jennifer Mgendi na wimbo huu Jaribu langu!!
NAWATAKIENI JUMAPINI NJEMA NA YENYE AMANI PIA UPENDO KWA WOTE NA BARAKA ZA MWENYEZI MUNGU ZITAWALE NYUMBANI MWETU/MWENU AU MWAKO...
Sunday, September 8, 2013
NAPENDA KUWATAKIENI JUMAPILI NJEMA NDUGU ZANGUNI WOTE!!
Nachukua nafasi hii na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunilinda, kuniongoza, kunifanya nipate chakula, na kuniepesha na yasiyo mema. Nakutumaini wewe Mungu wangu , eh Mungu, wewe ni mwamba imara katika maisha yangu ...... Pia napenda kuwaombea familia, ndugu, wazazi/walezi, marafiki, majirani, wafanyakazi wenzangu pia hata madui zangu. Mwenyezi Mungu na atushushie wote baraka na upendo pia amani ...AMINA. . NA UJUMBE WA LEO NI:- SISI SOTE NI NDUGU,WATOTO WA BABA MMOJA.
Sunday, September 1, 2013
NAWATAKIENI JUMAPILI HII YA 22 YA MWAKA C IWE NJEMA !!
Mdada katoka kanisani hapa
Sala ya leo kwa ajili ya kuwaombea watu wote:
Salamu, Maria, umejaa neema, Bwana
yu nawe,
umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu,
mzao wa tumbo lako amebarikiwa.
Maria mtakatifu, Mama wa Mungu,
utuombee sisi wakosefu, sasa na saa ya kufa kwetu.
Amina.
umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu,
mzao wa tumbo lako amebarikiwa.
Maria mtakatifu, Mama wa Mungu,
utuombee sisi wakosefu, sasa na saa ya kufa kwetu.
Amina.
NA TUSISAHAU KUWAOMBEA JT. YUSTO, INGRID, JN GREGORI MKUU , SOFIA
JO ..ROSALIA, IRMGARD, AL.. ROMULO, ROSWITA...IJ ...MAGNUS, ALEX, JS YIDITH.
TUPO PAMOJA. AMINA
.
Sunday, August 25, 2013
NI DOMINIKA YA 21 YA MWAKA C..WATOTO
Watoto wana hali ya kimbingu. kwani wana kila sababu: unyofu. utulivu. amani, upendo, furaha, mapatano. umoja, ushirikiano. usikivu na unyenyekevu. Ndiyo maana hata Bwana wetu yesu Kristu alisema: "Waacheni wadogo waje kwangu." Hali hii inatakia kwa kila mmoja wetu ili baada ya maisha haya ya sasa tukafurahi pamoja na Mungu katika utatu, milele yote mbinguni.
JUMAPILI NJAMA
Sunday, August 18, 2013
HILI NI CHAGUO LA MAISHA NA MAFANIKIO KWA JUMAPILI HII YA LEO :UJUMBE!!
Elimu ni mali ambayo adui hawezi kuiteka. Maana ya msemo huu ni kwamba; mtu akishapata elimu, hii ni mali yake ambayo hakuna mtu anayeweza kuiteka na kuinyang'anya kwa kuwa hiyo ni sehemu ya utu wake. Pia elimu humsaidia kumfahamu Mungu vizuri zaidi aliye asili ya elimu na maarifa yote
JUMAPILI NJEMAKWA YEYETO ATAKAYEPITA HSPA.!!!!!
JUMAPILI NJEMAKWA YEYETO ATAKAYEPITA HSPA.!!!!!
Sunday, August 11, 2013
JUMAPILI HII TUANGALIA HADITHI YA MAISHA YA YESU KWA KIBENA!!!
UDALIKE uliyerekodi hii kwa kibena. Nimefurahi kweli kusikia LUGHA YA KIBENA kwa mara nyingine nimejisikia kama nipo ubenani. HAYA NAWATAKIENI WOTE JUMAPILI NJEMA NA UPENDO NA AMANI PIA UTULIVU UTAWALA KATIKA NYUMBA ZENU. KRISTU NI TUMAINI LETU.
Sunday, July 28, 2013
JUMAPILI HII YA MWISHO WA MWEZI HUU MAISHA NA MAFANIKIO IMECHAGUA WIMBO HUU..JICHO
AU TU NGOJA TUENDELEE NA HUU PIA
JUMAPIULI IWE NJEMA KWA WOTE NA YENYE AMANI NA UPENDO. PANAPO MAJALIWA TUTAONANA TENA. KAPULYA
Sunday, June 16, 2013
UJUMBE WA JUMAPILI HII YA LEO NI HUU!!!!
Unapotafakari mema ya Mungu ya leo:-
WASAMEHE WALIOKUKOSEA,
WAKUMBUKE WALIOKUSAHAU na UILINDE AMANI YA MOYO ISIPOTEE.
Kwani utakuwa na furaha daima!!!
JUMAPILI NJEMA KWA WOTE NA MWENYEZI MUNGU AWE NANYI!!!
Sunday, June 9, 2013
NI DOMINIKA/JUMAPILI YA 10 YA MWAKA C...NA TUANGALIE/TUSOME HESHIMA YA MWANAMKE NA WITO WAKE!!!
"Mwanamke kama Mama na mlezi wa kwanza wa mwanadamu ana haki ya pekee kabla ya mwanamume. Umama kwa upande wa utu na maadili unaonyesha uwezo wa mwanamke wa kuumba ulivyo muhimu sana ambao unadhihirisha wito wa pekee na ni changamoto ya pekee inayomchochea mwanamume na ubaba wake"
"Heshima ya mwanamke hutegemea utaratibu wa upendo, nao ni hasa utaratibu wa haki na wa kupendana..."
"Hongera kwa mwanamke aliyekuzaa na kukunyonyesha!" Yesu akajibi, "Barabara; lakini heru yake zaidi yule aliyelisikia neno la Mungu na kulishika"
"Heshima ya mwanamke hutegemea utaratibu wa upendo, nao ni hasa utaratibu wa haki na wa kupendana..."
"Hongera kwa mwanamke aliyekuzaa na kukunyonyesha!" Yesu akajibi, "Barabara; lakini heru yake zaidi yule aliyelisikia neno la Mungu na kulishika"
Sunday, May 19, 2013
JUMAPILI NJEMA ..UKIPATA MUDA BASI NAKUOMBA SIKILIZA WIMBO HUU MAANA NI CHAGUO LA MAISHA NA MAFANIKIO KWA LEO...!!!
JUMAPILI NJEMA SANA KWA YEYOTE ATAYEPIATA HAPA UPENDO NA AMANI ITAWALE KWENU..MNAPENDWA WOTE AMINAAA...!!
Sunday, May 12, 2013
JUMAPILI NJEMA KWA WOTE ...BARAKA NA UPENDO VITAWALE KATIKA NYUMBA ZENU
Napenda kuwatakia jumapili njema wote mtakaopita hapa maisha na mafanikio ...naomba wote tusali sala hii...
Salamu Maria, umejaa neema.
Bwana yu nawe
umebarikiwa kuliko wanawake wote,
na Yesu, mzao wa tumbo lako amebarikiwa. Maria mtakatifu, Mama wa Mungu,
utuombee sisi wakosefu,
sasa na saa ya kufa kwetu.
Amina.
JUMAPILI NJEMA SANA KWA WOTE....
Salamu Maria, umejaa neema.
Bwana yu nawe
umebarikiwa kuliko wanawake wote,
na Yesu, mzao wa tumbo lako amebarikiwa. Maria mtakatifu, Mama wa Mungu,
utuombee sisi wakosefu,
sasa na saa ya kufa kwetu.
Amina.
JUMAPILI NJEMA SANA KWA WOTE....
Sunday, May 5, 2013
JUMAPILI NJEMA KWA UJUMBE HUU....BABA SHIKAMOO!!!
Ni jumapili ya kwanza ya mwezi huu wa tano..baraka, upendo na amani zitawale katika nyumba zenu. TUPO PAMOJA
Sunday, April 21, 2013
JUMAPILI NJEMA KWA WOTE WATAOPITA HAPA...MAISHA NA MAFANIKIO
IMANI YA BWANA IWE NANYI...NA UPENDO PIA BARAKA ZITAWALE NYUMBANI MWENU.
Sunday, March 31, 2013
NAPENDA KUWATAKIENI PASAKA NJEMA NA YENYE AMANI NA BARAKA TELE....!!!!
Ni PASAKA LEO..Je unajua pasaka ni nini? angalia hapa chini:-
P-Pokea
A-Amani
S- Sasa
A- Ambayo
K- Kristo
A- Ametupa-
Mungu awatangulie katika PASAKA HII. AMANI IWE NANYI. AMINA- PASAKA NJEMA KWA WOTE.
P-Pokea
A-Amani
S- Sasa
A- Ambayo
K- Kristo
A- Ametupa-
Mungu awatangulie katika PASAKA HII. AMANI IWE NANYI. AMINA- PASAKA NJEMA KWA WOTE.
Subscribe to:
Posts (Atom)