Ndani ya soko kuu ...hapa ni sehemu ya kupata mchele
Huwezi kununua mchele tu Nyanya, Vitunguu na mapochopocho mengine ni lazima pia..
Showing posts with label Sokoni. Show all posts
Showing posts with label Sokoni. Show all posts
Monday, May 20, 2013
TUANZE JUMATATU HII KWA KUTEMBEEA MAENEO YA SOKO KUU LA SONGEA,,,HAPA ILIKUWA MWEZI WA KWANZA 2013....KARIBU!!!
Hapa ni baadhi ya duka maalumu kwa kanga tu..tukiwa katika msako wa kununua kanga..si umeona zilivyo nyingi. Tulipata shida sana kuchagua. Hili ni baadhi ya kitu dhaifu kwangu..kuchagua.....
Tuesday, August 11, 2009
Monday, July 6, 2009
Monday, October 27, 2008
SIO KUSUKA MIKEKA TU HATA KUKAA SIKU NZIMA KUSUBIRI WATEJA NI MOJA YA KUJITEGEMEA
Monday, October 13, 2008
KUJITEGEMEA
Wednesday, September 3, 2008
Subscribe to:
Posts (Atom)







