Showing posts with label Sokoni. Show all posts
Showing posts with label Sokoni. Show all posts

Monday, May 20, 2013

TUANZE JUMATATU HII KWA KUTEMBEEA MAENEO YA SOKO KUU LA SONGEA,,,HAPA ILIKUWA MWEZI WA KWANZA 2013....KARIBU!!!

 Hapa ni baadhi ya duka maalumu kwa kanga tu..tukiwa katika msako wa kununua kanga..si umeona zilivyo nyingi. Tulipata shida sana kuchagua. Hili ni baadhi ya kitu dhaifu kwangu..kuchagua.....
 Ndani ya soko kuu ...hapa ni sehemu ya kupata mchele
Huwezi kununua mchele tu Nyanya, Vitunguu na mapochopocho mengine ni lazima pia..

Monday, July 6, 2009

Monday, October 27, 2008

SIO KUSUKA MIKEKA TU HATA KUKAA SIKU NZIMA KUSUBIRI WATEJA NI MOJA YA KUJITEGEMEA

Sijui kama wenzangu mnaona sawasawa wanauza nini. Ah ngoja niwaambia ni kwenye ndoo ni bamia lita mia nna, kwenye ungo ni uyoga bakuli mia tatu, kwenye ungo mwingine kumbikumbi kikombe mia mbili na halafu karoti fungu mia moja.

Monday, October 13, 2008

KUJITEGEMEA

Nipo sokoni nauza dagaa lakini tangu asubuhi sijapata hata mteja mmoja. Maisha ya kutafuta pesa kazi kweli


Wednesday, September 3, 2008