Leo ni jumapili ya matawi na pia ni jumapili ya kwanza ya mwezi huu wa nne. Pia ni sikuku ile ya WAJINGA, kwa hiyo kuwa mwangalifu unaweza kudanyanya na lolote lile. Hivi kweli kuna wajinga duniani hapa? Ebu basi dada Esther amalizie na wimbo huu Mambo yanabadilika:-)
JUMAPILI NJEMA UNGANA NA MARAFIKI AU NDUGU KWA SIKU HII NI VIZURI KUWA PAMOJA!!!