Showing posts with label kuwa makini. Show all posts
Showing posts with label kuwa makini. Show all posts

Tuesday, February 10, 2015

TUWE MAKINI TUTUMIAPO VINYWAJI MAANA KUNA WENGI WANAPENDA!!!

Hii inanikumbusha siku moja  tulikuwa na sherehe na katika shamrashamra  basi kaka mmoja akawa amechukua bia yake  na kunywa kumbe mende walikuwa wamemwahi. Na pia mwingine aliingingiliwa na nyuki akamuuma mdomoni na kuvimba vibaya mno. Kwa hiyo ndugu zangu tuwe makini. Tutaonana tena panapo majaliwa...Kapulya!!