Hii inanikumbusha siku moja tulikuwa na sherehe na katika shamrashamra basi kaka mmoja akawa amechukua bia yake na kunywa kumbe mende walikuwa wamemwahi. Na pia mwingine aliingingiliwa na nyuki akamuuma mdomoni na kuvimba vibaya mno. Kwa hiyo ndugu zangu tuwe makini. Tutaonana tena panapo majaliwa...Kapulya!!