Friday, February 21, 2020

LEO NIMEONA TUTEMBELEE MBEYA YETU

Nimependa hii mandhari ..Hapa ni Mbeya . Basi mimi niwatakieni mwisho mwema wa juma kwa picha hii kwa yeyote atakayepita hapa na pia hata kama utasikia . Tupo pamoja Daima. Kapulya wenu!

Thursday, February 13, 2020

PICHA;.- HII ITAKUWA NI MPAPAI AU MATTIKITI MAJI?

Hii picha na iwe picha ya wiki maana nimeshindwa kabisa kujua kama ni matikiti maji au papai! naomba msaada wenu ndugu zangu