Mapera yakiwa mtini na hapo unaweza kujua lipi lipo tayari kuliwa.... kuna wengi wanashindwa kula mapera kutokana na kuwa na .....
....mbegumbegu kama uonavyo hapa...basi ni bora kunywa juisi yake ni tamu sana....Nimeyatamani sana mapera leo....Je kuna tunda wewe umelitamani kwa hivi karibuni?
Showing posts with label hamu. Show all posts
Showing posts with label hamu. Show all posts
Tuesday, October 10, 2017
Tuesday, February 16, 2016
MCHANA WA LEO NIMETAMANI NA KUKUMBUKA MLO HUU WA UGALI WA MHOGO NA MLENDA
Baada ya kukumbuka Lundo kwangu nimejikuta ninatamani na ugali huu wa muhogo na mlenda mweeh yaani utamu wake hauna maelezo kwa mtu asiye wahi kula. Hakika vyakula vya asili vina utamu Wake. Na hasa ukizingatia UGALI WA MUHOGO.... Kwa hiyo basi tulage kwa macho:-(
Wednesday, May 27, 2015
LEO NIMEAMKA NA HAMU YA EMBE KWELI...KWENDA DUKANI ETI EMBE MOJA BEI YAKE ...
Ni 2640, duh nikakumbuka nyumbani Ruhuwiko nina miembe na mpaka kuna wakati natupa maembe au nalisha nguruwe...Mmmmmhhh maisha haya kaziiiii kwelikweli.... JUMATANO NJEMA KWA WOTE!!
Tuesday, July 15, 2014
LEO NINGEPENDA SANA KULA MLO HUU..NDIZI
Nimetamani sana mlo huu...ndizi ila basi tu. Ila si siku nyingi bado nitapika mlo huu na kuula...hasa nikiendaMatetereka nitakula mpaka kushindwa....SIKU NJEMA KWA WOTE!!!
Subscribe to:
Posts (Atom)