Showing posts with label chakula cha asili. Show all posts
Showing posts with label chakula cha asili. Show all posts

Tuesday, August 30, 2016

KARIBUNI TUJUMUIKE KATIKA MLO HUU AUPENDAO KAPULYA......

 Mlo ni ni kachumbali, safu ya kwanza kwenye hicho chombo cha bluu karibu na kachumbali ni mihogo,katikati ni viazi vitabu na mwisho ni ndizi....
.....na hapa ni sahani yangu ilivyojazwa na cha kuteremshia   ni kinywaji cha uhai  si kingine ni MAJI