Showing posts with label UDHAIFU. Show all posts
Showing posts with label UDHAIFU. Show all posts
Friday, June 1, 2018
UJUMBE WA LEO IJUMAA YA KWANZA YA MWEZI HUU WA SITA...MAPENZI
Akupendaye atakuvumilia udhaifu wako wote hatakuhesabia makosa yako kwa kukata tamaaa juu yako bali atatafuta njia ya kukusaidia ujione mwenye thamani na kuwa na furaha maishani mwako
IJUMAA NJEMA NA MWANZO MWEMA WA MWEZI!...
Saturday, February 17, 2018
NAPENDA KUWATAKIENI JUMAMOSI NJEMA NGAWA HALI YANGU NI DHAIFU KIDOGO!
Ni jumamosi nyingine tena na kapulya leo kapataikana na tumafua kidogo lakini kwa maombi yenu naamini nitakuwa mzima kabla juu halijazama:-) Nawatakieni JUMAMOSI YENYE AMANI NA FURAHA KATIKA KIPINDI HIKI CHA KWARESMA.
Subscribe to:
Posts (Atom)