Saturday, July 27, 2019

DAFU ZA ZANZIBAR. ..USIKOSE

 Nilifurahi sana hii siku kukaribishwa kwa mtindo huu...
Nsio mimi tu niliyefurahia..
.

Sunday, July 21, 2019

Sunday, July 14, 2019

NIMEPITA SOKONI SONGEA NIKAKUTANA NA VYAKULA NIVIPENDAVYO SAMAKI MBELELE NA LIKUNGU NILI

Hapa ni samaki aina ya mbelele watamu sana sana ila wana miba ndogo  ndogo ulapo yabudi uwe mwangalifu sana...

 Hapa ni likungu...hupatikana sana ziwa nyasa....na sasa ndio msimu wake

Wednesday, July 10, 2019

Saturday, July 6, 2019

PALE UFIKAPO NYUMBANI NA KUPOKELEWA KIASILI ...TWACHAGUA MCHELE

Ni furaha  ilioje kujumuika na familia na kufanya kazi  za jikoni pamoja....nyumbani  Songea/Ruhuwiko.