Sunday, July 14, 2019

NIMEPITA SOKONI SONGEA NIKAKUTANA NA VYAKULA NIVIPENDAVYO SAMAKI MBELELE NA LIKUNGU NILI

Hapa ni samaki aina ya mbelele watamu sana sana ila wana miba ndogo  ndogo ulapo yabudi uwe mwangalifu sana...

 Hapa ni likungu...hupatikana sana ziwa nyasa....na sasa ndio msimu wake

No comments: