Showing posts with label matembele. Show all posts
Showing posts with label matembele. Show all posts

Monday, July 23, 2018

JUMATATU YA LEO TUANGALIA BAADHI YA VYAKULA NILIMAVYO/KAZI YA MIKONO YANGU

Hapa ni kama itakuwa vizuri basi litakuwa tango....

.....na ni matembele ...kama huna ardhi kutosha basi hii ni njia nzuri kupata chakula

Tuesday, April 26, 2016

NIMETAMANI SANA HIVI VYAKULA VYETU VYA ASILI/TULIVYOKUA NAVYO

 Nimekaa hapa nikiyafikiria matembele kwa ugali wa muhogo, lakini  duh  nimebaki kumezea mate tu...nikaanza kuota ndoto ya
...mahindi ya kuchoma hasa yale yanayochomwa moja kwa moja katika mkaa halisi wa kuni....mmmhhh maisha ....HAYA JAMANI KILA LA KHERI...PANAPO MAJALIWA...