Tuesday, April 26, 2016

NIMETAMANI SANA HIVI VYAKULA VYETU VYA ASILI/TULIVYOKUA NAVYO

 Nimekaa hapa nikiyafikiria matembele kwa ugali wa muhogo, lakini  duh  nimebaki kumezea mate tu...nikaanza kuota ndoto ya
...mahindi ya kuchoma hasa yale yanayochomwa moja kwa moja katika mkaa halisi wa kuni....mmmhhh maisha ....HAYA JAMANI KILA LA KHERI...PANAPO MAJALIWA...

No comments: