Saturday, April 2, 2016

MITINDO YA NYWELE KWA AKINA DADA/MAMA.....

Nimejiuliza sana hivi huu mtindo ukisuka itakuwaje kulala? Duh ama kweli ukitaka kupendeza yabidi uvumilivu....JUMAMOSI NJEMA KWA WOTE. .....Ngoja nijiandae nami nisuke huu mtindo ila nahisi mchana na usiku kwandu itakuwa sawa ...hakuna kulala:-)

No comments: