Thursday, August 12, 2010

Swali la leo:- Hivi hapa ni wapi vile????


Sijui patakuwa wapi??? Mshindi kuna zawadi nono imeandaliwa haya karibuni. Au niseme mshindi wa kwanza atakula chakula cha jioni na mimi popote atakapo, mshindi wa pili atakaribishwa Ruhuwiko na mshindi wa tatu ni siri.

22 comments:

emu-three said...

Hapa nafikiri ni huko kwenu magongo kuinama, sio ungonini hapa!

Anonymous said...

Kapicha kadogo sana mi sioni vizuri...

Masangu Matondo said...

Kapicha kadogo sana mi sioni vizuri...

EDNA said...

Mbona swali rahisi? ni kwa mfaranyati au bombimbili(SONGEAAAAAA)

chib said...

Soweto ya Bongo kama ukipenda...

Unknown said...

Dada hapo ni Songe, mji mkuu wa wilaya ya Kilindi mkoani Tanga. mji huo uko takribani kilomita 75 kutokea Handeni mjini, pia ni jirani na mji wa Gairo mkoani Morogoro, ambapo ni kama kilomita 74 hivi. wakazi wa eneo hilo ni wa kabila la Wanguu, pia wapo wazigua, Wasambaa na Wakaguru.

Wilaya hiyo ilipatikana baada ya wilaya ya Handeni kugawanywa.

Pamoja na kupewa hadhi ya wilaya, lakini mji huo umezidi kuwa nyuma sana kimaendeleo, ujenzi wa nyumba za kisasa haundenani na hali halisi ya kipato cha wananchi wa eneo hilo, na hilo limechagizwa zaidi na imani za kishirikina zilizotamalaki katika eneo hilo.

Ndoa za mitala nazo zinatisha kwani kila msimu wa mavuno wanaume ndio wanaongeza wake. ni jambo la kawaida sana kukuta kijana wa miaka kama 30 hivi au mzee wa miaka 70 akiwa ana wake zaidi aya watatu wa halali ( Kwa waislamu huruhusiwa kuoa hadi wake wanne kwa mujibu wa mafundisho ya dini) na hapo hapo anaweza kuwa na mahawara hata watatu katika vijiji vya jirani ambao wanapewa hadhi sawa na wake zao, achilia mbali wale wanaoitwa wa chapchap, ambao hukutana kwenye magulio.

Swala la Tohara kwa wanawake bado lina nguvu sana katika eneo hilo na wahusika wa vitendo hivyo hufanya usanii kukiri kuwa wameacha kufanya vitendo hivyo vya kukeketa watoto wa kike wakati nyuma ya pazia vitendo hivyo bado vinafanywa kwa usiri mkubwa.

Swala la Elimu nalo halina nguvu sana kwani watoto wa kike wakishavunja ungo, kuachishwa shule na kuozwa ni jambo la kawaida kabisa.

Ninayo mengi ya kusimulia kuhusiana na eneo hilo, lakini naona nitawachosha wasomaji wako bure.....

Maisara Wastara said...

Kaka Shabani umepatia, hapo mahali sijawahi kufika lakini nimewahi fika Handeni, tabia, mila na desturi zao umeopatia....

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa said...

guest buu fulani, inakumbusha mlikokuwa mkijificha mlipokuwa wadogo, bila shaka patakukumbusha mengi hapo

Flora Wanna said...

hi!, kama bombambili vile.

Desderius Ngonyani said...

picha hii ni namanditi songea bonde la kuinukia lilambo songea.

Fadhy Mtanga said...

mie siwezi kujibu swali hili kwa kuwa kaka Kaluse kaniibia majibu yangu. Alichojibu Kaluse kadokolezea kwangu hivyo naomba zawadi asipewe yeye nipewe mimi.

ila penye kusema kula nawe mahali atakapo mshindi, mi nataka kula nawe nyumbani kwangu...wengine fumbeni macho msisome hapa.

ha ha ha ha haaaaaaaaaa.....

vipi likizo dada?

Simon Kitururu said...

Hapo ni Ruhuwiko!

Ingawa nimeshinda ningependa zawadi ya tatu hiyo ya SIRI. Sehemu zenye SIRI zina ladha yake ati!:-)

Blackmannen said...

Kabla sijajibu nataka kujua zawadi yenyewe kwanza ili nione kama itanitia motisha wa kujikunja kujibu swali.

Zawadi aliyoizungumzia "Simoni Mawazoni" mara nyingi ina aina fulani ya motisha kubwa sana, lakini kwa sasa, mimi nasema hivi kama "Blackmannen Mawazoni" tu.

It's Great To Be Black=Blackmannen

Yasinta Ngonyani said...

wote mnapendwa sana na mshindi wa swali hili atakuwa kaka Shabani kaluse kwa hiyo yeye ndiye atakaye kula nami chakula na sehewmu ya kula ni yeye anachagua. Ahsanyeni wengine kwa kujaribu.

Anonymous said...

It iѕ nοt only a great foгm of pеace, it truly iѕ as outlined by studiеs goоd fоr your brain!
To be able to gain it is advisable to oνercom your entіrе.

One of the best on the net ѕlots methoԁ shoulԁ be to attеnԁ on-line slot machine gаmе competitionѕ.
I'm back again on Casino bonusstars and also only a few regulars continue to be presently there.

my web blog ... Casino bonus

Anonymous said...

Enjoying is absolutely ѕimρle The ѕpend stand іs аctuallу
simplе to imρlement and it is dirеctlу οn the dеvice.
to loοk just a lіttle cгazу.
Тhey may be a nickel twеlve, уet you'll find only a few reside roulette tactics that in some way work.

Also visit my site - Casino Bonuses

Anonymous said...

If he startѕ eye balling other women іn front of you it's over. They are good at going into "tunnel-vision" to block out all distractions so they can rapidly advance past their objectives. When a club experiences a successful or memorable season, generally there is one player or perhaps no more than two or three who lead the charge.

Visit my site: done deal

Anonymous said...

It saѵed muсh of mу time since
I didn't have to run around town looking for items and everything was easily delivered straight to my door before the wedding. He ended up having a tailor make a shirt from material he chose, which turned out beautifully but took a couple weeks to receive. Before you consider taking any of supplements that can be bought over-the-counter, it is best to talk to your doctor first to get a sound advice.

Also visit my blog post one stop shop

Anonymous said...

Тhis easy panеl skiгt can be layered oѵer
сirсle ѕkirtѕ, other pаnel skirts, or harem pants.
Broсade frontiег νеst: a
men's vest popular in the Wild West that contains a. One classic costume that's
faiгly to easу to get together is thе swashbuсklіng pirаte.

Anonymous said...

You can alsο get some good anԁ hot deаlѕ from
online mοbіle store. The Be - Cеntѕ - Able website dοesn't describe workshop content in the workshop sign-up section. For those who can afford to travel by private jet, the hassles sometimes outweigh the benefits.

My web-site: spring shoes

Anonymous said...

Once she had thе class put on a play, аnd she chose me to be thе one
to plаce the neeԁle frοm the record plауer at a spеcіfіc ρlace in
thе MIDDLE of a song. First I'll show you the highschoolers and their dates. Don't worry
if you сan't find any red shoes, you can always paint an old pair of shoes red using spray paint.

My page malvinasargentinas.info

Anonymous said...

rayban sunglasses, [url=http://rayban.genin.jp/]http://rayban.genin.jp/[/url]
and Harley-Davidson motorcycles, ZIPPO lighters constant as the deposition of American culture. rayban English called Ray-Ban, [url=http://rayban.genin.jp/]サングラス レイバン[/url]
Ray as pitch-black [url=http://rayban.ashigaru.jp/]http://rayban.ashigaru.jp/[/url]
look, Debar the close off, sunglasses hunk the lustre of the sunrise is essential. In the maiden half of the 20th century, wearing a rayban [url=http://rayban.ashigaru.jp/]レイバン 店舗[/url]
lenses are the biggest names in the moulding attention entrails, Gary - Distribute, Audrey Hepburn is its loyal. Nowadays, rayban this tail in the earth of people's continually communicating with the law frequently. Wayfarer-style whey-faced box, red thwack, gloomy crate, tortoiseshell ...... [url=http://rayban.ashigaru.jp/]rayban サングラス[/url]
contrasting rayban sunglasses casing in Hollywood stars finish, with order civilian clothes, appeared on individual [url=http://rayban.amigasa.jp/]http://rayban.amigasa.jp/[/url]
occasions. Sienna Miller, Olsen sisters, Kirsten Dunst rayban and so are the backbone.