Wednesday, August 25, 2010

HATIMAYE MIAKA MIWILI IMETIMIA TANGU BLOG YA CHANGAMOTO YETU IANZISHWE. HONGERA!!!


miaka yaenda kasi mno yaani leo ni miaka miwili blog hii ya CHANGAMOTO YETU tangu ianze kublogu. Blog ya MAISHA NA MAFANIKIO yakutakia yote utakayotenda yawe na mafanikio mema. Hongera sana na uwepo wako unathaminiwa sana. zaidi ingia hapa utapata mengi zaidi.

13 comments:

o'Wambura Ng'wanambiti! said...

hongera mwee!

libeneke kama kawa!

John Mwaipopo said...

'ongela! miaka miwili si hapa.

Masangu Matondo Nzuzullima said...

Kazi nzuri na hongera!

Simon Kitururu said...

Hongera Mkuu!

nyahbingi worrior. said...

Nikisema hongera sitojitendea haki kwani watu bado tuko gizani,ulipo fika ni mwanzo wa safari tu,safari bado ni ndefu.

wale wanaokupa hongera sijui wanamaana gani.

Sellasi.

Aika (Binti mkorofi!) said...

Hilo pozi duh! Hayo macho dah! Huo mdomo mh! Mpaka mwili wote umenisisimka!

Mbele said...

Hongera na kila la heri.

Shein Rangers Sports Club said...

Hongera sana kwani blog kutimiza miaka miwili sio kazi rahisi.

Wapo walioanza kwa kishindo lakini waliishia njiani. HONGERA SANA!!

emu-three said...

Hongera sana, uzidi kutoa changamoto

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa said...

mhmh, aika kachanganyikiwa!

Mija Shija Sayi said...

Hongera sana Kaka, Mungu azidi kukusaidia uzidi kutupa changamoto zaidi. Amen.

Yasinta Ngonyani said...

Napenda kuchukua nafasi hii kwa kuwashukuruni wote kwa kuwa pamoja nami kwa kuipongeza blog ya Changamoto yetu. Kwani ni kweli kabisa inatuletea changamoto kwelikweli na tuna haki kabisa ya kujivuna kwa uwepo wa blog hii pia Anayeitunza. Na Kumbukeni sisi sote ni ndugu ni watoto wa baba mmoja.

Unknown said...

Blog nzuri!
RDCTube anawatakia muendeleye vizuri