Ngoja nisikilia hizi chuchu nyingine ili wengine wasije wakachukua....Nimewahi kusikia kuwa ni hatari kunywa maziwa bila kuchemsha yaani moja kwa moja kama mtoto huyu. Je ni kwa binadamu tu au?Maana Ndama hadhuriki..Kaaaazi kwelikweli hapa..sijui mama alikuwa wapi?
Showing posts with label maziwa. Show all posts
Showing posts with label maziwa. Show all posts
Tuesday, October 9, 2012
HII ITAKUWA PICHA YA MWAKA KWA KWELI ..!!!!
Inasemekana maziwa ni lishe bora kwa watu/hasa watoto lakini ndiyo hivi kweli? Salama hapa?
Thursday, September 8, 2011
MATITI NI CHAKULA CHA MTOTO AU?



Monday, August 24, 2009
Monday, December 8, 2008
Subscribe to:
Posts (Atom)