Showing posts with label usemi wa leo. Show all posts
Showing posts with label usemi wa leo. Show all posts
Thursday, October 29, 2015
TUNAKARIBIA KUUMALIZA MWEZIHUU WA KUMI...BASI TUUMALIZE KWA USEMI HUU....KARIBU
Mlinde kama binti yako, mpende kama mke wako na muheshimu kama mama yako........Kapulya wenu!
Friday, September 25, 2015
TUMALIZE JUMA HILI KWA USEMI HUU.....!!!
Kila kitu/mtu kina/ana uzuri wake, lakini sio wote wanaouona usuri huo!
BASI NGOJA MIMI /KAPULYA WENU NIWATAKIENI IJUMAA NJEMA NA MWISHO MWEMA WA JUMA HILI.
BASI NGOJA MIMI /KAPULYA WENU NIWATAKIENI IJUMAA NJEMA NA MWISHO MWEMA WA JUMA HILI.
Friday, September 11, 2015
TUMALIZE WIKI KWA USEMI HUU...
Kuna njia moja tu ya kuwa na furaha, nayo ni kuwaacha kuwa na wasiwasi juu ya jambo ambalo halipo juu ya uwezo wetu.
Panapo majaliwa tutaonana tena...wenu Kapulya
Panapo majaliwa tutaonana tena...wenu Kapulya
Subscribe to:
Posts (Atom)