Showing posts with label mbinga. Show all posts
Showing posts with label mbinga. Show all posts

Thursday, April 16, 2020

NIMETUMIWA ZAWADI KUTOKA KWA KAKA YANGU ...KUTOKA MBINGA

Yaani mpaka raha .....utakula ulivyopanda... hii ni kazi ya mikono ya kakangu Philo huko Mbinga ni ndizi kama muuonavyo kwenye picha
pia kuna matunda ya passion
Karibuni sana kwetu Mbinga chakula kwa kwingi ...au sisi wangoni twasema chakula bwelele...

Thursday, March 10, 2016

LEO TUWE KWETU RUVUMA:- NYUMBA YA GHOROFA MOJA KATIKA KIJIJI CHA LIPUMBA WILAYA MBINGA MKOA WA RUVUMA

Nyumba hii ya ghorofa moja imejengwa katika kijiji cha Lipumba katika Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma ambayo Rais wa kwanza wa Tanzania alimsaidia mwenye nyumba bati kwa ajili ya kuipaua, baada ya kuwa imeezekwa kwa nyasi ...inasadikiwa

Monday, March 3, 2014

JUMATATU YA LEO TWENDE KUWATEMBELEA NDUGU /JIRANI ZETU HUKO MBINGA!!!

Najua Mbinga kuna milima na mabonde mengi sana. Lakini hapa nimejiuliza hawa waliojenga hizi nyumba ama kweli wana moyo kweli...hapa ni MBUJI ROCH  ILIYOPO LIULI MBINGA...Basi ufikapo Mbinga usikose kutembelea ..

Wednesday, October 19, 2011

HOSPITAL YA LITEMBO YATIMIZA MIAKA 50!!!

Tarehe 10/6/2011 Litembo Hospital ilitimiza miaka 50 ya kutoa huduma ya afya . Ashukuriwe Mungu. Picha hizi nimetumiwa na Padre Raphael Ndunguru ambaye tulisoma pamoja shule ya msingi Lundo.

Hospital ya Litembo
Hapa huyu mwenye kanzu nyeupe ni mhashamu Askofu mpya wa jimbo la Mbinga John Ndimbo.
Sr. Maria Meiss avishwa taji:- Ametumikia Litembo kama muuguzi kwa muda wote wa miaka 50.
Hapa akina mama kwa furaha wameungana kusherehekea.

Friday, January 28, 2011

TUSISAHAU UTAMADUNI/NGOMA ZETU ZA JADI-NGOMA YA CHIYODA/KIODA!!!


Hapa ni ngoma ya kioda(chioda). Ni ngoma ya WamaTengo na inachezwa na akina mama, hapa ni kijiji cha Mkinga katika bonde la Hagati-Mbinga. IJUMAA NA MWISHO WA JUMA MWEMA KWA BURUDANI HII!!!

Saturday, September 4, 2010

Likonde: Jubilei ya miaka 50 ya Seminary ya Likonde

Seminari ya Likonde



Ama kweli miaka inakimbia kweli leo hii ni jubilei ya hii Seminary!!


Monday, December 15, 2008

HAPA NI JIMBONI MBINGA


Leo nitakuwa kimya nasubiri wenzangu mseme !!!