pia kuna matunda ya passion
Karibuni sana kwetu Mbinga chakula kwa kwingi ...au sisi wangoni twasema chakula bwelele...
Showing posts with label mbinga. Show all posts
Showing posts with label mbinga. Show all posts
Thursday, April 16, 2020
NIMETUMIWA ZAWADI KUTOKA KWA KAKA YANGU ...KUTOKA MBINGA
Yaani mpaka raha .....utakula ulivyopanda... hii ni kazi ya mikono ya kakangu Philo huko Mbinga ni ndizi kama muuonavyo kwenye picha
Thursday, March 10, 2016
LEO TUWE KWETU RUVUMA:- NYUMBA YA GHOROFA MOJA KATIKA KIJIJI CHA LIPUMBA WILAYA MBINGA MKOA WA RUVUMA
Nyumba hii ya ghorofa moja imejengwa katika kijiji cha Lipumba katika Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma ambayo Rais wa kwanza wa Tanzania alimsaidia mwenye nyumba bati kwa ajili ya kuipaua, baada ya kuwa imeezekwa kwa nyasi ...inasadikiwa
Monday, March 3, 2014
JUMATATU YA LEO TWENDE KUWATEMBELEA NDUGU /JIRANI ZETU HUKO MBINGA!!!
Najua Mbinga kuna milima na mabonde mengi sana. Lakini hapa nimejiuliza hawa waliojenga hizi nyumba ama kweli wana moyo kweli...hapa ni MBUJI ROCH ILIYOPO LIULI MBINGA...Basi ufikapo Mbinga usikose kutembelea ..
Wednesday, October 19, 2011
HOSPITAL YA LITEMBO YATIMIZA MIAKA 50!!!
Tarehe 10/6/2011 Litembo Hospital ilitimiza miaka 50 ya kutoa huduma ya afya . Ashukuriwe Mungu. Picha hizi nimetumiwa na Padre Raphael Ndunguru ambaye tulisoma pamoja shule ya msingi Lundo.
Hospital ya Litembo

Hapa huyu mwenye kanzu nyeupe ni mhashamu Askofu mpya wa jimbo la Mbinga John Ndimbo.

Sr. Maria Meiss avishwa taji:- Ametumikia Litembo kama muuguzi kwa muda wote wa miaka 50.

Hapa akina mama kwa furaha wameungana kusherehekea.
Wednesday, September 7, 2011
Made in Mbinga: Kijana wa Kitanzania mwenye elimu ya darasa la saba afanya uvumbuzi, atengeneza magari manne kwa kutumia vipuri vya pikipiki na vyuma
Katika pitapita nimekutana na habari hii ya kufurahisha na nikashindwa kuiacha nimeipata hapa
Friday, January 28, 2011
TUSISAHAU UTAMADUNI/NGOMA ZETU ZA JADI-NGOMA YA CHIYODA/KIODA!!!
Hapa ni ngoma ya kioda(chioda). Ni ngoma ya WamaTengo na inachezwa na akina mama, hapa ni kijiji cha Mkinga katika bonde la Hagati-Mbinga. IJUMAA NA MWISHO WA JUMA MWEMA KWA BURUDANI HII!!!
Saturday, September 4, 2010
Monday, December 15, 2008
Subscribe to:
Posts (Atom)