Monday, February 3, 2014

MSAADA WA VITENDAWILI NA MAANA ZAKE!!

Nimetumiwa ujumbe huu lakini kwa bahati mbaya hivi vitandawili kwangu vimekuwa vigumu kidogo kwa hiyo naomba ndugu zangu tusaidiane maana palipona wengi hapaharibiki kitu..Natunguliza shukrani zangu za dhati kwenu. Na ujumbe wenyewe unasema hivi:- karibuni!!
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Dada Yasinta, habari za leo? Samahani naomba msaada wako kwa vitendawili vifuatavyo:
1) Wanastarehe darini.
2) Sina dada wala kaka, lakini baba wa huyu jamaa ni mtoto wa baba yangu.
3) Nguo ivaliwayo kila siku isiyoingiwa na chawa.
4) Ini la ng'ombe huliwa hata na walio mbali.
5) Chatembea na hakijapata kupumzika hata nukta moja.
6) Mvua kidogo ng'ombe kaoga kichwa.
7) Njoo hapa nije hapo.
8) Msitu ambao haulii hondohondo.
9) Aliwa, yuala, ala, aliwa.
10) Ajenga ingawa hana mikono.
JUMATATU IWE NJEMA KWA WOTE!

357 comments:

1 – 200 of 357   Newer›   Newest»
Anonymous said...

Da Yasinta. Shikamoo!

Haya hapa majibu.
1. Panya
2. Mtoto wangu
3. Nyusi
4. Kifo
5. Jua
6. Jiwe
7. Kiraka
8. Mimba
9. Papa
10. Ndege

By Salumu.

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Salumu ahsante sana kwa mchango wako..Hapi kwenye namba tano mimi nilikuwa na jibu ...Saa

Anonymous said...

Sasa da Yasinta usemapo saa, ni saa ipi? Ya kujaza na ufunguo au ya betri na hizo zote zinaweza kuharibika. Ki sayansi hata jua halitembei! Labda tuseme ardhi (dunia) ndio inazunguka jua na mwezi inazunguka dunia. Maajabu ya Mwenyezi Mungu haya! By Salumu.

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Pamoja na kuwa kipanga shuleni sikuyajua haya madude. Hivyo msaada wangu hapa ni kidogo au tuseme hakuna. Hata hivyo nashukuru nimepata mawili matatu na kuelimika.

Unknown said...

Nakushukuru kwa kutuelimisha dada. Naomba msaada wa vitendawili hivi. ..1)Kiti nyikani,2) Kazi ni pantosha, 3) Kwetu tunalala tumesimama,4) Mama yupo chini ya wanawe wananing'iniquity darini, 5) Msichana wangu mrembo lakini havutiki,6)Ninakupa lakini mbona huachi kunidai, 7) Nakunywa mchuzi na nyama natupa nyama , 8) Ndege wengi baharini, 9) Teremka mlina kwa urahisi, 10) Tamu ya chumvi

Unknown said...

Nakushukuru kwa kutuelimisha dada. Naomba msaada wa vitendawili hivi. ..1)Kiti nyikani,2) Kazi ni pantosha, 3) Kwetu tunalala tumesimama,4) Mama yupo chini ya wanawe wananing'iniquity darini, 5) Msichana wangu mrembo lakini havutiki,6)Ninakupa lakini mbona huachi kunidai, 7) Nakunywa mchuzi na nyama natupa nyama , 8) Ndege wengi baharini, 9) Teremka mlina kwa urahisi, 10) Tamu ya chumvi

JACKSON said...

Yaan vitendawili ni vigumu sana,,kuna swali hapa kwamba kutokana na mabadiko ya sayansi na teknolojia vitendawili havina maana jadili kwa kutumia vitendawili sita.

Stella said...

Kiatu kisichoisha. .......?

Unknown said...

Tafadhali niambie jibu LA kitendawili hiki/- juma kalala na ndevu kaziacha nje
2. Ngozi ya babu chui inapedwa sana

Anonymous said...

Mimi pia naomba unisaidie na jibu la kitendawili iki agnes maridadi.

Unknown said...

ningependa msaada katika kujibu kitendawili kifuatacho.
wanatembelea lakini hawatembelewi

Unknown said...

Tafadhali unisaidie kitendawili hiki, watoto wa binadamu wa.......

Unknown said...

Naomba majibu ya vitendawili hivi;
1.Hana adabu wala stash
2.Hausimiki hausimami
3.Ajenga ingawa hana mikono
4.Kila nikitembea nasikia wifi wifi
5.Fuu funua fuu funika

Unknown said...

Msaada wa maana ya vitendawili.
1.Ukumbuu wa babu ni mrefu
2.Nichangu lakini sikitumii

Unknown said...

Kitendawili-kila akija kwetu hutanguliza na kelele

Tydoh said...

Naomba mnipe jibu la kitendawili hiki
Nyanya apepeta ufuta

Tydoh said...

Naomba mnipe jibu la kitendawili hiki
Nyanya apepeta ufuta

Unknown said...

Bara bara

Jina

Unknown said...

1Babu kafa kaniachia Pete
2Jinamizi laniiita lakini silioni
Naomba mnisaidie vitendawili hivyo.

Unknown said...

Kitendawili 1. watoto wa tajiri wanakula na kutembea uchi
2. Babu kaanguka na makoti yake. Msaada

Unknown said...

Msaada rafiki jibu la kitendawili "nina kitanda changu cha mkangashale mwana wa halali aende akalale........

Unknown said...

Babu kafa kaniachia pete

Unknown said...

Ndipo pako kwangu hamna nafasi

Unknown said...

Mr nitegee kitendawiki chenye jibu hili (kitambi)
Alafu nitegulie hiki
Ni adui yangu lakini natembea nae kila siku.

Unknown said...

Nilianika mtama Jana usiku lakini nilipoamka sikupata

Unknown said...

Agnes maridadi

Anonymous said...

taksi mbugani nini jibu la kitendawili hiki?

Unknown said...

Mbona vitendawili vinavyoulizwa na wadau havina majibu?

Unknown said...

Naomba jibu la
1 Mama anamiguu mtoto hana.
2 masikini huyu ataumpe nini hariziki.

Unknown said...

Jamani naombeni mnitegulie kitendawili cha bibi harusi ameinama

Unknown said...

1.utelezi
2.mkufu
3.ndege
4.mbaazi kavu
5.nyayo

Anthony said...

Naomba majibu kwa vitendawili vifwatavyo;-
1. Agness Maridadi
2. Mlima unaotembea

Mjaka said...

1.Jongoo
2.Mwangwi

Prince Mrope said...

Alizeti

Unknown said...

Chiriku alimwambia mwanawe, nikiinama nikiinuka no mauti yetu

Rodgers nsabe said...

Wakuu salama?

Naomba msaada wa vitendawili vyenye majibu yafuatayo

1. Kikombe
2. Kinyonga
3. Ulimi
4. Jani
5. Kisogo

Natanguliza shukrani wadau

Unknown said...

Nini maana ya nikiinama nikiinuka ni mauti yetu

Unknown said...

Chukua ungo wewe na mimi tupepete kisichopepeteka

Unknown said...

Fufunua fufunika

Unknown said...

Kisogo

Unknown said...

Kisogo

Unknown said...

Kobe

Unknown said...

Unyayo

Unknown said...

Naombeni msaada wa kitendawili hiki: Asha mzuri lakini matata

Unknown said...

1. Boga (pumpkin)

Unknown said...

Nyota

Unknown said...

Naomba kujua maana ya kitendawili hiki mazishi yake ni furaha kwetu

godyyy said...

Msaada jmn nacheza ngoma wapigaji wake wapo ughaibuni

Unknown said...

Naomba msaada wa cjajibu ya ,gari moshi relini ,mazishi take nifuraha kwa watu,nacheza ngoma lakini wapigaji wake wako ughaibuni.

Unknown said...

Msaada kutendawili nacheza ngoma kwa nguvu wapigaji wapo ughaibuni

Eliaichi Maghimbi said...

5. Kutembea

Unknown said...

Bahari

Unknown said...

Nini maana ya kitendawili nikikutana na adui yangu nanyong'onyea

Unknown said...

Hiyo ndugu yangu ngumu kumesaa

Unknown said...

Naomba msaada wa kitendawili na panda Mti na kichaa wangu

Eliaichi Maghimbi said...

7. Kula mua

Eliaichi Maghimbi said...

Nyayo

Eliaichi Maghimbi said...

1.kuku na yai
2 tumbo

Eliaichi Maghimbi said...

1mzungu katoka ulaya na mkono kiunoni
2. Tajiri wa Rangi./ huuawa na uzazi wake
4. Nikienda kwa mjomba sirud

Eliaichi Maghimbi said...

Ugonjwa

Eliaichi Maghimbi said...

Ugonjwa

Eliaichi Maghimbi said...

Ugonjwa

Eliaichi Maghimbi said...

Mziki redioni

Eliaichi Maghimbi said...

Mziki redioni

Eliaichi Maghimbi said...

Mziki redioni

Eliaichi Maghimbi said...

Ugonjwa

Unknown said...

Naomba majibu ya vitandawili ivi. 1mjumbe alileta ujumbe nikajua habari aliisoma. 2kiangazi chote ulala yakija masika ukesha. 3hana mkono. 4nyundo zangu zimetengenezwa kwa mifupa

Unknown said...

Ana ndevu,lakini kaka yake hana:sio mbuzi kweli?

Unknown said...

Ninii maana ya kitendawilii hiki gari moshi relini

Unknown said...

Bibi harusi kain am a?

Unknown said...

Naombeni jibu ya Nina kitanda changu Cha mkangashale means halali aende akalale

Unknown said...

Mwana

Unknown said...

Naomba maana ya kitendawili kushika tama


Unknown said...

Samahani ninaomba kuuliza majibu ya vitendawili vifuatavyo:
1) Mnadhani naenda kumbe siendi
2) Hutembelea lakini hatembelewi
3) Napanda mti na kichaa wangu

Unknown said...

Nini maana ya kitendawili Napanda mti na kichaa wangu

Unknown said...

Naomba jibu la kitandawili:napanda mti na kichaa wangu

Unknown said...

Msaada wa kitendawili
1)watoto watajiri wa nguo hulala na kutembea uchi
2)zulia la mungu

Unknown said...

Naomba msaada wa kitendawili hiki "Teksi mbugani"

Jackson Simkoko said...

Naombeni jibu LA ..nyundo zangu zimetengenezwa kwa mfupa

Jackson Simkoko said...

Naombeni jibu LA ..nyundo zangu zimetengenezwa kwa mfupa

Unknown said...

Naomba msaada wa kuteguliwa kitendawili hiki"nina kitanda changu mkangashale mwana halali aende akalale".

Unknown said...

Maomba jibu la kitendawili "nina kitanda changu cha mkangashale mwana wa halali aende akalale.

Unknown said...

Maana ya kitendawili anajenga ingawa Hana mikono

Unknown said...

Ndege

Unknown said...

Chawa

swaico said...

Naomba niulize swali

swaico said...

Watoto wa mjomba wakiondoka hawarudi

Unknown said...

Naomba majibu ya vitendawili hizi
Zulia la mungu

Unknown said...

Mjomba hataki tuonane

Unknown said...

Hhuawa na uzazi wake

Unknown said...

Mama hachoki kunibeba

Unknown said...

Kisima changu hakikauki na maji

Unknown said...

Wana wa mfalme hulala na kutembea uchi

Lucy said...

Naomba jibu la kitendawili
Kila mtu humwabudu apitao

Unknown said...

Naomba msaada wa hivi vitendawili
1. Apitapo huacha alama
2.Inama nikuambie

Unknown said...

Chukua ungo wewe na mimi tupepete kisicho pepeteka
Naomba msaada

Unknown said...

Naomba jibu la kitendawili hiki, Hesabu yake haina faida kwetu

Unknown said...

Mlango

Unknown said...

Naomb jibu Babu kaanguka na makotikoti yake

Unknown said...

Teksi mbugani jibu lake nin!?

Unknown said...

Msaada..Nina kitanda changu Cha mkangashele mwana wa halali aende akalale

Unknown said...

Naomba msaada kuhusu kitendawili hili: hesabu yake haina faida

Asante

Msangi said...

Nywele

Msangi said...

Boga

Unknown said...

Jani

Unknown said...

5. Kutembea

Unknown said...

Jogoo

Unknown said...

No 1. Boga No 2. Ardhi

Unknown said...

Nisaidie kitendawili Nina kitanda changu cha mkangashele mwana wa halali aende akalale

Unknown said...

Msaada jaman...Nina kiatanda changu cha mkanga shale mwana wa halali aende akalale

Unknown said...

5. Ninatembea naye lakini simuoni

Unknown said...

naomba mnitegulie hiki kitendawil; mazishi yake ni furaha kwetu

Unknown said...

Nywele

Unknown said...

Nywele

Unknown said...

Kitanda

Unknown said...

Kisogo

Unknown said...

Kinyonga

Unknown said...

Mbegu z mazao

Unknown said...

Siafu

Unknown said...

Kitendawili-nacheza ngoma lakini wapigaji wapo ugaibuni.

Unknown said...

Naomba msaada juu ya hichi kitendawili:nacheza ngoma lakini wapigaji wapo ugaibuni.

Frank said...

Gari moshi relini maana yake ni nini??????

Unknown said...

Zipu

Anonymous said...

Msaada wa hivi vitendawili
1. Analala ananing'inia
2. Mlima huu hupandwa kwa mkono

Unknown said...

Naomba maana ya kitendawili kifa kifanana

Unknown said...

Natamani kupata jibu LA hiki kitendawili jamani

Unknown said...

Naomba maana ya kitemdawili zulia la mungu

Unknown said...

Naomba maana ya kitendawili zulia la mungu

Unknown said...

Naomba msaada wa majibu ya vitendawili vifuatavyo
1.Anachinjwa kwa kisu lakini hafi?
2.Aendapo juu lazima harudi?
3.Akiiba yeye Mimi nashiba?
4.Atembeapo huringa hata kama yupo hatarini?
5.Akienda kwa mjomba harudi ?
6.Amchukuapo hamrudishi?
7.Akiwa mchanga ni mpole akizeeka anakisasi?

Aggrey said...

Bibi harusi kainama??

Unknown said...

Kinywa..

Unknown said...

Mbuzi na ng'ombe

Unknown said...

Mbuzi na ng'ombe

Unknown said...

Ndege

Unknown said...

Alizeti

Unknown said...

Naomba msaada wa kitendawil akiwabeba watoto wake Hawezi kuwashusha

Unknown said...

Jibu siyo saa Wala jua,jibu moyo

Unknown said...

Dada Yasinta naomba unitegulie Kitendawili kifiatacho:
1. Piki piki msituni?

Unknown said...

Radio

Unknown said...

Namba msaada wa kitendawili hiki kigoda Cha msituni?

Unknown said...

Habari za asubuhi
Naomba msaada wa kitendawili hiki'' daima damu yangu hunyonywa na kuuzwa lakini bado nipo imara''
Asanteni.

Violeth Christopher said...

Nitegee kitendawili chenye jibu shule

Unknown said...

Zao la mpira

Unknown said...

1 Ajihami bila silaha
2 Bibi hachoki kunibeba

Unknown said...

Nguo ya Babu ina viraka kila mahali maana yake

Unknown said...

Naomba jibu la kitendawili hiki
Kila mtu humwambia apitapo

Unknown said...

Kipepeo


Unknown said...

Bahari

Unknown said...

Ardhi

Unknown said...

Redio

Unknown said...

Mlango

Anonymous said...

Naomba jibu la kitendawili hivi
1.Kiangazi chote kulala usingizi
2.Nilimchinja mwanangu ng'ombe hii, wakala nyama wakapanda mkia ukaota ukawa ng'ombe tena

Eggmoy said...

Nyanya apepeta mpunga.naomba jibu.

Eggmoy said...

Jibu lake nini wadau?

Unknown said...

Msaada gari moshi relini
Ganda la mua haliishi utamu

Unknown said...

Kope

Unknown said...

Zipu

Unknown said...

Bahari


Unknown said...

2. Mgomba

Unknown said...

Naombeni vitendawili vitano na maana zake

Unknown said...

Kitendawili:Anachonjwa kwa kisu likini hafi_

Unknown said...

Naomba msaada wa kitendawili ambacho jibu lake ni KITAMBI

Unknown said...

Msaada wa kitendawili jibu moyo kongine meno na ulimi

Unknown said...

Naomba majibu ya vitendawili
Kombe la mungu li wazi
Zulia la Mungu
Watoto wa binadamu wakiondoka hawarudiý

Unknown said...

Naomba jibu ya kitendawili chungu cha mwitu hakiwapiki wapishi wake wakaiva

Unknown said...

Hapo unaweza ukakataa au ukakubali. Ukikataa ndo unakuwa na uwezo mkubwa wa kujieleza kwa kutumia dhima au umuhimu wa vitendawili kwa Sasa huku ukiambatanisha mifano

Unknown said...

Macho

Unknown said...

Kisima
Ardhi
Jani la mti

Unknown said...

Kope

Unknown said...

Mbegu za mmea

Unknown said...

1: barua
2.vyura
3
4.meno

Unknown said...

Meno

Unknown said...

Naomben jibu gali moshi lelin

Unknown said...

Chungu cha mwitu hakiwapiki wapishi wake kika iva

Anonymous said...

Chungu Cha mwitu hakiwapiki wapishi wake wakaiva jibu ni mzinga wa nyuki.

Unknown said...

Samahani jamani Nina misemo hii

Naomba majibu

1. Chungu cha mtu hakiwapiki wapishi wake wakaiva

2. Kwa mfalme hawa wanaingia hawa wanatoka

3.nacheza Ngoma wapigaji wake wapo ughaibuni

Naombeni anayejua anisaidie

Unknown said...

Nisaidieni kutegue kitendawili kipo hiv i gari moshi relini jibu lake ni nini

Unknown said...

Garimoshi relini ni zipu

Unknown said...

Nisaidie jibu la hiki kitendawili nina mtoto nkimpa chakula analia nikimnyima halii

Unknown said...

Nisaidieni maana ya kitendawili nyumba yangu imeungua mwamba wake umebaki

Unknown said...

Naomba msaada wa kitendawili: Hufa na kufufuka

Unknown said...

Naomba msaada
Kitendawili jibu lake ni KITAMBI

Anonymous said...

Naomba maana ya kitendawili

1. Cheupe kimetoa manjano
2. Aziza azizi mara nazi mara ndizi

Anonymous said...

Kivuli

Anonymous said...

Ni nahau maana take sikitika

Anonymous said...

Samahani naomba vitendawili vya majibu haya
1.kujikwaa
2.fingisi
3.njia
4.kuota moto

Anonymous said...

Rafiki yangu mharibifu lakini namhitaji naomba jibu la hiki kitendawili

Anonymous said...

Naomba jibu la kitendawili kwa mfalme Hawa wanatoka na Hawa wanaingia
L

Anonymous said...

Kichwani mmmh miguun mmmh naomba jibu la kitendawili icho

Anonymous said...

Muwa

Anonymous said...

Zipu

Anonymous said...

Moto

Anonymous said...

Nikweli jibu hili

Anonymous said...

Kivuli

Anonymous said...

Kipepei

Anonymous said...

Kivuli

Anonymous said...

Jibu la ,Jana nilitaka kupigwa , nikamwaga tango nikakwmbia

Omr informer.blogspot.com said...

1. Mhindi

Anonymous said...

Naombeni mnisaidie kitendawili kisemacho maji yakimwagika hayazoleki/hayanyweki

Anonymous said...

Nisaidie jibu.mama anapepeta mpunga

«Oldest ‹Older   1 – 200 of 357   Newer› Newest»