Monday, February 3, 2014

MSAADA WA VITENDAWILI NA MAANA ZAKE!!

Nimetumiwa ujumbe huu lakini kwa bahati mbaya hivi vitandawili kwangu vimekuwa vigumu kidogo kwa hiyo naomba ndugu zangu tusaidiane maana palipona wengi hapaharibiki kitu..Natunguliza shukrani zangu za dhati kwenu. Na ujumbe wenyewe unasema hivi:- karibuni!!
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Dada Yasinta, habari za leo? Samahani naomba msaada wako kwa vitendawili vifuatavyo:
1) Wanastarehe darini.
2) Sina dada wala kaka, lakini baba wa huyu jamaa ni mtoto wa baba yangu.
3) Nguo ivaliwayo kila siku isiyoingiwa na chawa.
4) Ini la ng'ombe huliwa hata na walio mbali.
5) Chatembea na hakijapata kupumzika hata nukta moja.
6) Mvua kidogo ng'ombe kaoga kichwa.
7) Njoo hapa nije hapo.
8) Msitu ambao haulii hondohondo.
9) Aliwa, yuala, ala, aliwa.
10) Ajenga ingawa hana mikono.
JUMATATU IWE NJEMA KWA WOTE!

362 comments:

«Oldest   ‹Older   201 – 362 of 362
Anonymous said...

Kobe

Anonymous said...

Nisadie vitendawili vya Haya majibu

Anonymous said...

Majibu hayo ni Giza, jembe, saa, gunia, kuraani, na anga

Anonymous said...

Nacheza ngoma kwa nguvu wapigaji wake wapo ughaibuni

Anonymous said...

Maziwa na tui la nazi

Anonymous said...

Napanda mti na kichaa wangu

Anonymous said...

Kisima kidogo hakikauki

Anonymous said...

Nnaomba jibu la kaka anajicho moja

Anonymous said...

Naomba jibu kaka yangu ana jicho moja

Anonymous said...

Samahani naomba msahada wa kitendawili hiki. Watoto wa tajili lakini wanalala na kuamka uchi

Anonymous said...

Nna mwanangu nikimtia maji hufa ,jibu lake nini

Anonymous said...

Naomba msaada wa nahau hesabu yake haina faida

Anonymous said...

naomba jibu la kitendawili hiki,senkonyongwe anatembea wima

Anonymous said...

naomba maana ya kitendawili huki.chibuluma maji yameingilia wapi?

Anonymous said...

naomba kufahamu maana ya kitendawili hiki,mbona wanifanya bwege?

Anonymous said...

Kitendawili,, pikipki ya Babu imefichwa nyikani,, jibublake Nini??

Anonymous said...

Nisaidie kitendawili chenye jibu kisahani na kikombe

Anonymous said...

Zulia la mungu

Anonymous said...

Msaada wa methali Fu funua Fu funika

Anonymous said...

Nakukubali sana aisee unatusaidia. ...

Anonymous said...

Nisaisie:hana miguu lakin huenda mbio sana

Anonymous said...

Kobe

Anonymous said...

Naomba jibu la kitendawili,mwavuli wa porini ni

Anonymous said...

Samahani jibu la kitendawili " FUMULE HUFUMA HUKU NA HUKU " jibu ni nini?

Anonymous said...

kila nikimuona anajificha naomba jibu lake

Anonymous said...

Kwel kabisa tunaomba kitendawili cha neno boga

Anonymous said...

Naombeni niulize nini jibu la kitendawili kisemacho kiti mwituni

alilungeju said...

Kitendawili chenye jibu mungu

alilungeju said...

Taski mbugani kobe

Anonymous said...

Naomba msaada wa kitendawili hiki
Nina KITANDA changu cha samadari atakayekilalia ndiye hodari

Anonymous said...

Naombeni jibu la kitendawil kinachosema, mfalme hafi kifudifudi

Anonymous said...

Kiti nyikani jibu ni uyoga

Anonymous said...

Naomba maana ya kitendawili Wana wa mfalme hufa kwa ugonjwa wa kichwa

Anonymous said...

Habari naomba msaada wa kitendawili hiki wakutanapo marafiki waachana Napo maadui.

Anonymous said...

Dafu

Anonymous said...

Zulia la mungu

Anonymous said...

_________________mbele kiza

Anonymous said...

Akienda juu harudii

Anonymous said...

Nisaidieni aendapoo juu LAZIMA arudi

Anonymous said...

Naomba nisaidieni kitendawili, Kwa mfalme hawa wanatoka hawa wanaingia

Anonymous said...

Moto

Anonymous said...

Alizeti

Anonymous said...

Jongoo

Anonymous said...

Jongoo

Anonymous said...

Yai

Anonymous said...

Naomna msaada wa vitendawili cha taksi mbugani na wamanga wanapigana mapanga

Anonymous said...

naomba majibu
1.kwa mfalme hawa wanatoka hawa wanaingia........!
2.wanangu hawapandi mlima bali ushuka..........!
3.saa yangu haijawai simama tangu itiwe ufunguo............

Anonymous said...

Mgomba

Anonymous said...

Naomba kitendawili ambacho jibu lake ni kitambi

Anonymous said...

Bonge bonge akitembea anapiga mateke

Anonymous said...

1 mzinga wa nyuki

Anonymous said...

Bibi harusi kainama

Anonymous said...

Jibu lake ushajua?

Anonymous said...

Waza

Anonymous said...

Naombeni kitendawili chenye jibu miguu

Anonymous said...

Naomba jibu la kitendawili kifa kifanana

Anonymous said...

Naomba jibu la kitendawili " aDamu yangu hunyonywa na kuuzwa lakini nipo imara

Anonymous said...

Naombeni msaada wa hiki kitendawili "watoto wa mjomba hulala na kutembea uchi "

Anonymous said...

Msaada jamani, "watoto wa mjomba hulala na kutembea uchi "

Anonymous said...

Watoto wa tajiri wanalaa bila nguo

Anonymous said...

Mbaazi ni jibu la kitendawili kipi

Anonymous said...

Nakushika lakini sikuoni

Anonymous said...

Nanyang anapepeta mbugani

Anonymous said...

Naomva jibu: NYANYA ANAPEPETA MBUGANI

Anonymous said...

Habar, tafadhar naomba jibu lenye jibu mbarika

Anonymous said...

Nisaidie kupata jibu.....
Ndege wengi baharini ________

Anonymous said...

𝑯𝒂𝒃𝒂𝒓𝒊 𝒛𝒆𝒏𝒖.

Anonymous said...

Mgomba

Anonymous said...

Njia au mfupa

Anonymous said...

Naomba jibu la kitendawili hiki

Anonymous said...

Napanda mti na kichaa wangu

Anonymous said...

Zipu

Catherine said...

Zipu

Anonymous said...

Babu kafa kaniachia Pete

Anonymous said...

Mfupa

Anonymous said...

Machia yangu yaelea nchi kavu naomba mnisaidie jibu

Anonymous said...

Nini maana ya kitendawili bibi harusi kainama

Anonymous said...

Naomba jibu la kitendawili.

1.bibi nieleke
2.mzee kipara kaingia uwanjani

Anonymous said...

Nyumba yangu imeungua mwamba wake umebaki.
Naomba jibu..

Anonymous said...

Nyumba yangu imeungua, mwamba wake umebaki. Jibu la kitendawili hiki ni:
A.nazi
B. Jiwe
C. Mlima
D. Njia
E. Mfupa

Anonymous said...

Nisaidie jibu :wazee wawili wanashuka mlimani

Anonymous said...

Nisaidieni:anamfundisha mzungu kutengeneza mwamvuli

Anonymous said...

Alizeti

Anonymous said...

Masaada wa Vitendawili hivi
1:Nasuka mkeka lakini nalala chini
2: Kila aendapo huweka alama

Anonymous said...

Naomba jibu la kitendawili hiki nina wanangu watatu mmoja mvivu mwingine mtembezi na mwingine mkali

Anonymous said...

Nisaidie jibu, maana ya mgeni nyuma

Anonymous said...

Habar naomba kitendawili chenye jibu la kikombe na kingine mwangi

Anonymous said...

Nisaidie kitendawil jibu lake ni mbarika

Anonymous said...

Vipi kuhusu si nyama si mfupa?

Anonymous said...

Naomba usaidizi kwa kitendawili hiki; ni changu lakini sikitumii

Anonymous said...

Naomba mnisaidie jibu la kitendawili hiki fumole hufuma huku na huko

Anonymous said...

Msaada WA jibu la kitendawili
Wamanga wanapigana Kwa panga

Anonymous said...

Fumole hufuma huku na huko jibu Ni

Anonymous said...

Naomba jibu la kitendawili hiki Ashinda akicheka

Anonymous said...

Na hii Aziza azizi ndizi bila duara

Anonymous said...

Mama achoki kunibeba

Anonymous said...

Samahani kifa kifanana jibu lake ni nini?

Anonymous said...

Naomba jibu la kitendawili hik . Hanaadabu wala staha kwa watu

Anonymous said...

Naomba msaada kitendawili hiki kila nikimuona nanyong'onyea

Anonymous said...

Nafungua na kufunga

Anonymous said...

Naomba msaada wa kitendawili chenye majibu (kobe)

Anonymous said...

Nikikutana na adui yangu nanyong'ea

Anonymous said...

Nisaidie kitendawili hiki nimelala ila nachungulia..........[. ]

Anonymous said...

Naomba jibu la hiki kitendawili, bomu la machozi baridi

Anonymous said...

Naomba kitendawili ambavyo majibu yake,1 mate,2nywele,3jogoo

Anonymous said...

Chawa

Said said...

Hapo Aziza Azizi mara nazi mara ndizi

Anonymous said...

Zuria la Mungu?

Anonymous said...

Nisaidieni jibu la kitendawili hiki watoto wa binadamu

Anonymous said...

Je fumole huvuma Huku na huko

Anonymous said...

nisaidieni
1.Askari wangu akiniona hutikisa au kuficha mkia.
2.Wanangu watano wote wana kofia sawa.
3.Anajiingiza jela mwenyewe.

Anonymous said...

Naomba msaada kitendawili Babu haba staha Wala adab

Anonymous said...

Taksi mbugani

Anonymous said...

Jamn naomb kitandawil cheny jib la kobe

Anonymous said...

Fumole hufuma huku na huko jibu la kitendawili hko?

Anonymous said...

Anajihami wala hana silaha jawabu lake

Anonymous said...

Kitendawili wanangu wawili daima wapo pamoja

Anonymous said...

Akifa anajizomea kitendawili chake msaanda jamn

Anonymous said...

Naombeni jibu la kitendawili :takataka zilizotupwa mjini huchafua moyo

Anonymous said...

hellow mumy naomba msaada wa kitendawili Hilo kigoda msituni

Anonymous said...

Nisaidie maana ya kitendawili, kanzu ya babu inamatobo.

Anonymous said...

Jamani kitendawili cha Bibi harusi kainama
Jibu lake ni nini

Anonymous said...

Siafu/nyuki

Anonymous said...

Wandugu kitendawili chenye jibu moshi

Anonymous said...

Jmn jobu la hichi kitendawili??

Anonymous said...

Naomba jibu la kitendawili bahari

Anonymous said...

naomba jibu napiga gitaa lakin wimbo siujui

Anonymous said...

Mwana
wa halali aende akalale



Was

Anonymous said...

Jamani naomba msaada wa kitendawili napanda mti na kichaa wangu

Anonymous said...

Naomba kuuliza kitendawili.Nyanya anapepeta mpunga

Anonymous said...

Sijapata majibu ya kitendawili hiki. Mtoto wangu ana mguu mmoja lakini kila mtu anamwabudu

Anonymous said...

Naombeni Majibu ya vitendawili hivi

1.fumule hufumua huku na huku
2.napanda mti na kichaa wangu

Anonymous said...

Naomba mnisaidie kitendawili hiki.
Mtoto wangu anamguu mmoja kila mtu humwabudu.

Anonymous said...

Nisaidieni jibu la kitendawili kisemacho gari mosho relini?

Anonymous said...

Zuria la mungu

Anonymous said...

Naomba msaada wa kitendawili kisemacho dada yangu anatako moja

Anonymous said...

Uonekane mara Moja kwa siku na mara mbili kwa dakika jibu lake ni Nini??

Anonymous said...

Nikiktana na adui yang nanyongo'nyea

Anonymous said...

Treni

Anonymous said...

Nisaidieni hichi wakuu.... Anachinjwa kila siku lakini hafi? Jibu...?

Anonymous said...

Naomba jibu fumole hufuma huku na huko

Anonymous said...

Asanteni kwa comments zenu, naomba kitendawili ambacho jibu lake ni "kitambi"

Anonymous said...

Naomba jibu la kitendawili hiki "Kwa mfalme Hawa wanaingia Hawa wanatoka"

Anonymous said...

Apitapo Huacha alama

Anonymous said...

Mtoto wangu ana mguu mmoja kila mtu ana mwabudu. Msaada hapo please

Anonymous said...

Tafadhali naomba majibu ya vitendawili vifuatavyo chumba changu kikubwa lakini nalala peke yangu,ukimkata shingo leo kesho anayo nyingine mama hana miguu lakini mtoto anayo

Sustainable investment said...

Chungu cha mtu hakiwapiki wapishi wake wakaiva

Sustainable investment said...

Nacheza ngoma wapigaji wake wapo ughaibun

Anonymous said...

Jamani nisaidieni kitendawili kisemacho garimoshi relini

Anonymous said...

Habarini naomba kujua majibu ya vitendawili hivi1 fumole hufuma huku na huko 2kabla hajanitazama nimeshampiga 3kifa kifanana

Anonymous said...

Naomba jibu la kitendawili hik
Gari Moshi relini

Anonymous said...

Naomba jibu la natembea n paa mgongoni

Anonymous said...

Naomba msaada..kitendawiki Mtoto wangu ana mguu mmoja kaka mtu anamwabudu

Anonymous said...

Nyanya apepeta mpunga

Anonymous said...

Naomba jibu la kitendawili mfalme hafi kifudifudi

Anonymous said...

Koroani tukifu

Anonymous said...

Samahn kitendawili ambacho jibu lake ni mbaazi

Anonymous said...

Bibi harusi kainama naomba msaada kwa hii

Anonymous said...

Nisaidie jibu la bibi harusi kainama

Anonymous said...

Teketeke huzaa gumugumu na gumugumu huzaa teketeke

Anonymous said...

Nisaidie jibu napanda juu ya mti na kichaa wangu

Anonymous said...

Naombeni msaada wa vitendawil hivi
1.viti vyote nimekalia isipimiwa hicho
2.wana wa mfalme n wepesi sana kujificha
3. Shamba langu ni kubwa lakini mazao ni kidogo sana
4.zulia la mungu
5. Watoto wa tajiri wa nguo hulala na kutembea uchi

«Oldest ‹Older   201 – 362 of 362   Newer› Newest»