Macho ya huruma hufurahisha moyo, habari huburudisha mwili. Kuchukiana huendekeza fitina, kupendana husitiri makosa yote. Nilikuwa mgonjwa ukaja kuniona .Nilikuwa na njaa ukanilisha. Kumhudumia mgonjwa ni wito. JUMATANO NJEMA KWA WOTE . NA KUMBUKENI WOTE MNAPENDWA!!! NA PANAPO MAJALIWA BASI TUONANE TENA WAKATI MWINGINE.
Showing posts with label yasinta matetereka. Show all posts
Showing posts with label yasinta matetereka. Show all posts
Wednesday, March 13, 2013
Saturday, May 19, 2012
JUMAMOSI HII NIMEKUMBUKA MATETEREKA/MADABA HAKIKA ZILIPENDWA
Nimerudi nyuma na kufikiri sana na kila nikiangalia picha hii hapo ndio nionapo kweli watu tumetoka mbali Mwaka 1992 Wilima (Matetere) Madaba.
NAWATAKIENI WOTE JUMAMOSI NJEMA SANA...BINAFSI NAENDA KULIMA KABUSTANI KANGU .
Wednesday, August 27, 2008
Subscribe to:
Posts (Atom)