Showing posts with label Siku yangu ya kuzaliwa. Show all posts
Showing posts with label Siku yangu ya kuzaliwa. Show all posts

Saturday, January 5, 2019

LEO NI SIKU YANGU YA KUMBUKUMBU YA KUZALIWA

 Namshukuru  mwenyezi kwa kunipa afya njema mpaka leo nimeiona kumbukumbu  yangu ya kuzaliwa. Pia napenda kuwapa hongera kwa wote waliozaliwa mwezi  huu wa kwanza  na watakaozaliwa mwezi huu.
 Kwa vile nilikuwa mwema familia, ndugu na marafiki wamenipondeza kwa zawadi.HONGERA SANA KWA SIKU YA KUZALIWA MIMI.

Thursday, January 5, 2017

LEO NI SIKU/TAREHE YANGU YA KUZALIWA

Leo ni tarehe/siku ambayo familia ya Mzee Ngonyani ilikuwa na furaha kumpatabinti yao ambaye alizaliwa siku hii ya leo. Na leo ameongeza mwaka tena na kuzidi kuzeeka. Lakini hata hivyo anapenda kuwashirikisha ndugu, jamaa na marafiki kwa siku hii ili tumsaidie kusherekea. Na wote manakaribishwa..sana. NAWATAKIENI  wengine wote  wanaotimiza miaka leo pia mwezi huu wa januari. SIKU NA WAKATI MWEMA. WOTE MNAPENDWA SANA ...KAPULYA Nachukua nafasi hii  kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunilinda salama .