Saturday, January 5, 2019

LEO NI SIKU YANGU YA KUMBUKUMBU YA KUZALIWA

 Namshukuru  mwenyezi kwa kunipa afya njema mpaka leo nimeiona kumbukumbu  yangu ya kuzaliwa. Pia napenda kuwapa hongera kwa wote waliozaliwa mwezi  huu wa kwanza  na watakaozaliwa mwezi huu.
 Kwa vile nilikuwa mwema familia, ndugu na marafiki wamenipondeza kwa zawadi.HONGERA SANA KWA SIKU YA KUZALIWA MIMI.

5 comments:

Mfundishi said...

Hongera sana dada yangu!

Rachel Siwa said...

Hongera sana Kadala wa mimi
Mungu aendelee kukubariki
Nakupenda...

Ni mimi wako mtiifu
Kachiki.

Prince Emac said...

Happy birthday japo nimechelewa kukuwish

Penina Simon said...

Hongera sana my lovely baby,
mungu akutunze kila siku na akupe maisha marefu

Yasinta Ngonyani said...

Ndugu zangu wapendwa nachukuwa nafasi hii kuwashukuruni kwa kuwa nami katika kumbukumbu yangu ya kuzaliwa, mmlonho Mfundishi usengwili sana na chilawu mewawa, Rachel aka Kachiki wa mimi ahsante sana nami nakupenda, Prince Emac wala hujachelewa huu mwezi wote ni wangu:-), Dada P, nashukuru sana kwa maombi yako.