Thursday, January 24, 2019

KUMBUKUMBU .....ENZI HIZOOO! WATU TUMETOKA MBALI KWA KWELI

Aina za mafuta ya kupikia pa kupaka kwenye mkate nadhani PRIDE na SUPA-GHEE
Aina nyingine ni tan bond
Dada ana mzinga wa redio/ kaseti ili kupata pozi
Basi la Iringa enzi hizo

No comments: