Showing posts with label Dagaa nyasa. Show all posts
Showing posts with label Dagaa nyasa. Show all posts
Sunday, May 4, 2014
JUMAPILI YA LEO NIMETAMANI KWELIKWELI DAGAA WA ZIWA NYASA...NYUMBANI LUNDO
LUNDO:- Nimekumbuka sana leo, ugali wa mhogo, dagaa, kisamvu, matembele(mbwaka) bila kusahau samaki wa aina mbalimbali ndicho chakula kilichonikuza. Dagaa hawa ni watamu zaidi pale uwapatapo tu yaani wabichi ..hasa lile wanaota (lighanda) ikiwa na maana zilizochomshwa na kukaushwa maji yote usisahau chumvi na kapilipili kwa mbaliiii....Duh! najitesa bure hapa ngoje niache ila nitazile muda si mrefu Mungu akipenda:-) JUMAPILI NJEMA!
Subscribe to:
Posts (Atom)