Showing posts with label kumbukumbu za mambo ya afrika yetu. Show all posts
Showing posts with label kumbukumbu za mambo ya afrika yetu. Show all posts

Friday, March 3, 2017

TUANZA MWISHO WA WIKI HII KWA HIZI KUMBUKUMBU ZETU ZA ASILI AMBAZO KWA SASA ZINAPOTEA...


Napatwa na faraja kubwa sana pia furaha nionapo vitu kama hivi ambavyo nimekuwa navyo vya asili. Ambavyo yatupasa kuviendeleza ili kizazi chetu kijue tumetoka wapi nao waweza kuwaeleza kizazi chao...NAWATAKIENI WOTE MWISHO WA JUMA UWE MWEMA SANA. Kapulya wenu...