Napatwa na faraja kubwa sana pia furaha nionapo vitu kama hivi ambavyo nimekuwa navyo vya asili. Ambavyo yatupasa kuviendeleza ili kizazi chetu kijue tumetoka wapi nao waweza kuwaeleza kizazi chao...NAWATAKIENI WOTE MWISHO WA JUMA UWE MWEMA SANA. Kapulya wenu...