Tumbili na sokwe walijikuta wamekaa pamoja kanisani. Mara Padre/Pastor akasema, mgeukie mwenzako na mwambie wewe ni mzuri. Tumbili akageuka na kumwangalia sokwe kisha akacheka na kumwambia Padre/Pastor mwambie mwenyewe mimi sitaki dhambi.
Je hiki ni kichekesho au?
NAWATAKIENI WOTE JIONI NJEMA