Showing posts with label WILAYA YA MBINGA. Show all posts
Showing posts with label WILAYA YA MBINGA. Show all posts

Wednesday, September 14, 2016

LEO TUTEMBELEE KWETU MBINGA... KWA NDUGU ZETU WAMATENGO


Mbinga ,  Ni Wilaya  moja kati  ya wilaya tano za Mkoa wa Ruvuma wa Tanzania Ambayo upande wa kaskazini umepakana na Mkoa wa Njombe, upande wa mashariki na wilaya ya Songea Vijijini na Wilaya ya Songea Mjini, upande wa kusini na Msumbiji na wa magharibi na Ziwa Nyasa