Showing posts with label fashion. Show all posts
Showing posts with label fashion. Show all posts

Monday, April 14, 2014

TUANZE WIKI NA MDADA HUYU NA MIKANDA YAKE /HILI LILIKUWA VAZI LANGU LA JANA JUMAPILI !!

Kwa kukumbuka vizuri ebu fungua hapa kuona huyu mdada/kapulya anayopenda mikando tangu enzi hizo za ujana wake:-) http://ruhuwiko.blogspot.se/2013/02/mwanadada-na-mikanda-yakemwanamtindo-wa.htmlKama umeangalia vizuri katika hiyo picha ya juu ...Je? Umegundua kitu gani kinakosekana?
NAWATAKIENI MWANZO MWEMA WA JUMA/JUMATATU

Friday, February 8, 2013

MWANADADA NA MIKANDA YAKE..MWANAMTINDO WA WIKI!!

 Hapa alianza na mkanda wa kipepeo mwaka 1992 hakika zilipendwa haswaaaaaa.................
 .....................akaona ngoja ajaribu na mkanda wa kitaifa  si mbaya au??? 2011
,,,,na leo 2013 yupo na mkanda mwingine, inaonekana anapenda sana mikanda huyo dada...ni kweli:-)
nawatakieni IJUMAA NJEMA NA MWISHO WA WIKI UWE MWENYE FURAHA NA UPENDO KWENU PAMOJA NA MAJIRANI ZENU. TUPO PAMOJA.

Saturday, November 15, 2008

JE? HAPA NAPENDEZA?




Hapa mwenzenu nilikuwa Saudi Arabia, wanawake wote wanavaa hivi kazi kweli kweli

Wednesday, October 29, 2008

FLAVIANA AKIWA AFRIKA YA KUSINI

Hapa sisemi sana ila angalia tofauti na picha za hapo chini.

MAVAZI WAKATI UKIWA MJAMZITO


Hata akina mama wajawazito wanatakiwa kwenda na fashion. Wengi wanafikiei ujauzito ni ugonjwa.