Thursday, December 25, 2014

Friday, December 12, 2014

KUADIMIKA KWA MUDA KWA BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO/KAPULYA!!!


HAPA MIAKA MINNE ILIYOPITA.
KWA HIYO NA SASA TUTAWAHI KULIMA NA KUPANDA PIA KUTIA MBOLEA

Blog ya MAISHA NA MAFANIKIO inapenda kuwataarifu wasomaji wake kwamba haitakuwa hewani kwa muda.
Sababu kubwa ya kutokuwa hewani,  kuwa KAPULYA atakuwa SAFARINI ....Sio safari nyingine bali ya NYUMBANI-TANZANIA.
Nitajitahidi kuwataafu mawili matatu. TUKUTANE TENA WAKATI MWINGINE PAMOJA DAIMA. NAWATAKIENI WOTE CHRISTMAS JEMA NA MWAKA MPYA 2015. TUTAONANA.
SI VIBAYA KAMA TUKIMALIZIA NA KIPANDE HIKI CHA MZIKI....

KILA LA KHERI

HII ITAKUWA PICHA YA WIKI...CHAKULA NIKIPENDACHO...KARIBUNI

Huu  utakuwa ugali wa ulezi au mtama...mlenda pia upo.

Tuesday, December 9, 2014

LEO WATANZANIA TUNASHEREHEKEA MIAKA 53 YA UHURU!!

AHSANTE MUNGU
BENDERA TAIFA LA TANZANIA

Mungu ibariki Tanzania
Dumisha uhuru na Umoja
Wake kwa Waume na Watoto
Mungu Ibariki Tanzania na watu wake.
Ibariki Tanzania
Ibariki Tanzania
Tubariki watoto wa Tanzania.

Monday, December 8, 2014

SOKO KUU LA SONGEA MJINI...NYUMBANI NI NYUMBANI!!

Si muda mrefu nitakuwa napata mahitaji katika soko hili:-) 

Thursday, December 4, 2014

CHAGUO LA MAISHA NA MAFANIKIO KWA WIKI HII :-PICHA YA WIKI!!

Nimeipenda sana hii picha  jinsi mazingira yalivyo na pia hawa wanyama TWIGA nikiwaangalia jinsi wanavyo temba mwana mwendo wa kulinga inapendeza sana. ...nami nasema KARIBU TANZANIA:-)