Friday, August 23, 2019

KAZI YA MIKONO YANGU....BUSTANI

Hapa ni zao la zabibu
Na hapa nimepanda mchicha na figiri ila nimechelewa kidogo. Lakini nina matumaini nitakula tu:-)

Wednesday, August 7, 2019

UFUKWE RESTRAND:- UKIWA ZANZIBAR USIKOSE KULA HAPA KUNA CHAKULA KITAMU

Hapa ni baadhi ya wafanyakazi wetu
...na hapa ni kundi nzima
Meneja, akiwa na baadhi ya wafanyakazi kama vile mpishi na  dada msaidizi wake

Monday, August 5, 2019

NYUMBANI NI NYUMBANI NA UFIKAPO NYUMBANI NI RAHA SANA KUONANA NA NDUGU


 Hapa nipo Lundusi na mama zangu yaani binamu zake baba yangu
 Na hapa nipo na dada yangu Anastasia  alikuja kunisalimia baada ya miaka 20 kupita bila kuonana
 Hapa tupo Mkurumo kwa mjomba wetu...mpiga picha ni mimi kapulya
 Hapa tulipata mgeni anaitwa Chacha  alikuja kututembelea  ilikuwa ni furaha sana.

 Hapa tulipata wasaa kuwatembelea mapadre na kupata chakula cha jioni...
Zanzibar Forodhani 24/7-19