Friday, August 23, 2019

KAZI YA MIKONO YANGU....BUSTANI

Hapa ni zao la zabibu
Na hapa nimepanda mchicha na figiri ila nimechelewa kidogo. Lakini nina matumaini nitakula tu:-)

2 comments:

mumyhery said...

Nitumie mboga

Yasinta Ngonyani said...

Eeehhh dada M. Za masiku. Nipe add nikutumie.