Showing posts with label nywele. Show all posts
Showing posts with label nywele. Show all posts
Thursday, February 9, 2017
BLOGG YA MAISHA NA MAFANIKIO IMECHAGUA HII PICHA KUWA PICHA YA WIKI....
Hakuna kupoteza muda hapa...nimeipenda hii safi sana UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU....AU MNABISHA?
Wednesday, May 7, 2014
NIMEIPENDA PICHA HII..NA NDIYO BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO IMECHAGUA IWE PICHA YA WIKI!!
Nimependa jinsi walivyojipamba:-Nywele, vidani, na bila kusahau tabasamu/Mapozi na halafu ngozi zao nyororo. PAMOJA DAIMA!!
Wednesday, July 10, 2013
BAADA YA MASAA MATANO NA HUU NDIO MWANEKANO MPYA WA KAPULYA!!!
Hapa ni kichwa kizima, picha imepigwa kwa juu kuonyesha mwonekano wote...masaa matano nimekaa bila kuinuka na matokeo ndio haya..
Na hapa ni kwa mbele...mnaona kapulya alivyochoka si mchezo lakini nimefurahi nimeweza kusukwa maana zile nilisuka mwezi februari:-)..Dada Natalie kutoka Kongo ni mwepesi ajabu...Sijui hizi nitakaa nazo muda gani:-)
Na hapa ni kwa mbele...mnaona kapulya alivyochoka si mchezo lakini nimefurahi nimeweza kusukwa maana zile nilisuka mwezi februari:-)..Dada Natalie kutoka Kongo ni mwepesi ajabu...Sijui hizi nitakaa nazo muda gani:-)
Haya nawatakieni jioni njema ..Panapo majaliwa tutaonana tena...Kapulya ndani ya poziiii:-)
PICHA ZA WIKI:- KAPULYA NA NYWELE ZAKE!!
Hapa ni ijumaa wakati nasaka msusi...na ghafla jumamosi akanipa taarifa atanisuka kwa hiyo kazi sasa ni kufumua hizo nywele za kimasai...kazi ikaanza jumamosi..
..na jumatatu mzigo umekwisha sasa kazi kuchana eeeh bwana wewe si unaona hapa na afro yangu..leo jumatano ndo naenda kusuka ...nikirudi nitawaonyesha vipi imekuwa...Haya basi baadae:-)Thursday, April 12, 2012
PICHA YA WIKI HIII:-NYWELE
Baada ya wiki kadha mdada huyu kufikiria afanye nini na nywele zake, leo amepata msusi na sasa anajiandaa kwenda kusuka........
Saturday, March 17, 2012
MWONEKANO MPYA WA KAPULYA....
Friday, December 3, 2010
Thursday, June 17, 2010
Picha ya wiki hii!! Je? Unajua mwanamtindo huyu ni nani?

Na sasa ngoja tusikiliza kibao hiki ambacho kinawakilisha ujumbe murwaaaaaaaaaaaaaaaaaNi "Reggae sasambua sytle" iliyoimbwa na Dada Saida Karoli kuhusu sweet Tanzania
Thursday, December 17, 2009
DUH! NIMERUDI KUTOKA KUSUKA LEO 17/12-09

Kazi kweli kweli nilianza kusukwa hizo nywele saa sita mchana na ilipofikia saa kumi na moja jioni ndo kazi iliisha. Bahati mbaya msusi amekataa kuwa kwenye picha la sivyo mngeona jinsi nilivyopata mateso. Lakini ndo hivyo kuna msomo unasema:- Ukitaka kupendeza lazima uvumulie mateso:-) (Vill vara fin får du lida pin) Na kizuri zaidi picha hii ya leo kapiga binti yangu.
lebo:
burudani,
Kumbukumbu,
nguo pendeza,
nywele,
picha
Wednesday, December 16, 2009
NGOJA TUANGALIE PICHA ZA LEO!!!!!

Hapa ni Septemba 2009 mwanadada ana manywele ya ajabu kichwani kwake. Na inaonekana kama anafanya kazi ya kublog.
Na hapa ni 16.Desemba 2009 yaani leo Jumatano mwanadada anaonekana ni mwafrika/mTanzania mwanaafro KABISA:-)
Swali je? picha ipi ni bora kuliko nyingine? au tuseme mwanadada awe na nywele za aina gani?
Thursday, August 7, 2008
AGOSTI 7,2008 NYWELE

The Sixties were the era of long hair.As long as the hippies were wearing their hair long and bein' against war and stuff, Black people decided they wanted to do it, too. Hippy hair hung down, Black people's hair went in every direction. This was known as the Afro.
This looked so neat that white people started getting perms so they could have Afros, too. But then Michael Jackson turned white, so Black people decided maybe they'd do corn rows instead.
Subscribe to:
Posts (Atom)