Friday, December 3, 2010

PICHA YA WIKI HII:- MTINDO WA NYWELE!!!!

SIJUI ANAFANYA NINI?
Wiki hii tuangalie mtindo wa nywele. Ebu angalia wanadada hawa ni wanandugu au? labda marafiki? au labda imetokea tu kuwa hivyo? Maana wanafanana hadi jinsi ya kuweka nywele.
IJUMAA NJEMA WANDUGU!!!

6 comments:

Simon Kitururu said...

Mmependeza Mabinti wa Ngonyani!



Katika uchokozi:


Hebu tuongelee RANGI zao hawa mabinti mwanana ambao nasikia wote wameshawahiwa na kwetu wanaume inabidi tutoke udenda tu kwa kuwa hao ni mali za watu ati!:-(



Hivi wote ni weusi au wote ni maji ya kunde?

Hivi kuna aina ngapi za rangi nyeusi zifanyazo Rais Moi na Rais Obama wote waitwe ni watu weusi ,...
.... ikiwa ubao wa kuandikia katika shule ya Mchikichini pale Morogoro nao yasemekana ni wa rangi nyeusi?

emu-three said...

Duuu kweli wamependeza, mmmh, hapo `shikamoo kwa sana kwa wazazi wa mabinti hayo...hata aliyekuzidii umri atakupa shikamoo!

Upepo Mwanana said...

Anaonekana kama ni mtu yule yule ati!

Yasinta Ngonyani said...

nanukuu "Hebu tuongelee RANGI zao hawa mabinti mwanana ambao nasikia wote wameshawahiwa na kwetu wanaume inabidi tutoke udenda tu kwa kuwa hao ni mali za watu ati!:-(" hakika hapa umenichekesha mt.Simon

emu-3 nitazifikisha hizo shikamoo!

Upepo mwanana! una uhakika kweli kama ni mtu yule yule? angalia tena.

Penina Simon said...

HUYO ANACHOKONOA UCHAFU KWENYE KUCHA KAMA SIO KUZIKATA KBS,
LAKINI YASINTA HAO WADADA NIMEWAPENDA KWN WAMENIKUMBUSHA ENZI ZILE KIJIJINI TUKIFUNGA NYWELE KWA VITAMBAA VILE VILAINI NA MTINDO HUO NDO ULIKUWA MAARUFU KAMA UNA MTOKO WAKANISANI, AMBAO NDIO ULIKUWA OUTING SPECIAL KWETU. SOKONI MARANYINGI TULIKUWA TWAFUNGA VITAMBAA SABABU YA MAVUMBI.

obat telat bulan said...

obat cytotec i think your blog very informative obat penggugur thanks for sharing cytotec