Showing posts with label siku ya wanawake duniani. Show all posts
Showing posts with label siku ya wanawake duniani. Show all posts

Saturday, March 8, 2014

BLOGG YA MAISHA NA MAFANIKIO KATIKA SIKU HII YA WANAWAKE DUNIANI IMECHAGUA WIMBO HUU WA DADA FLORA MBASHA MAANA UMEBEBA UJUMBE MWANANA!!! UKIPATA WASAA SIKILIZA....


NAPENDA KUWATAKIENI JUMAMOSI HII YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI IWE NJEMA SANA. HONGERA WANAWAKE WOTE KWA SIKU HII! JUMAMOSI NJEMA KWA WOTE ...Mwanamke simama imara wewe ni jeshi kubwa ujitambua.....na kuendelea

Friday, March 8, 2013

WIKI HII NI YA WANAWAKE DUNIANI NA HAPA NI HII TAREHE NANE NDO YENYEWE...NAMI NIMEONA TUISHEREKEE KIHIVI:- BILA WANAWAKE ULIMWENGU UNGESIMAMA

MAMA ANALIMA 

Bila wanawake ulimwengu huu utasimama, yaani hakuna kitu kingeenda/fanikiwa..Ukiangalia kila mahali wanawake wapo, hasa katika shughuli kama kuchota maji, kutafuta kuni, kulea watoto na hata kazi ya kulima mazao /bustani(mbogamboga ...pia hata kazi ya kutafuta madini ghafi na kazi ngingine ngingi, nying zaidi. Anatumia masaa mengi kufanya shughuli hizi. Mara nyingi inakuwa siku nyingi kuliko mwanaume afanyavyo kazi. Na hii ndiyo sababu kubwa hasa ya kupigania USAWA ulimwenguni kote.
Tuzidi kuupigania USAWA sehemu zote :- Majumbani, mashuleni, makazini, kwa watu walio jirani yetu, kwenye siasa na kiutamaduni- ULIMWENGUNI kwote. WANAWAKE OYEEEEEEEEEE..NA KUMBUKENI WANAWAKE TUNAWEZA... Lakini pia tusiwasahau akina baba kwani bila wao tusingekuwepo akina mama....IJUMAA NJEMA SANA.

Thursday, March 8, 2012

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI :- UJUMBE!!!

Mwanamke ni kama jua ambalo bila wao sayari ingekuwa bila watu.
Unapotoa, ni kama kutoa pumzi ya uhai.
Na kuzaliwa kwa mtoto, aliye tumboni mwake.
Wanawake ni watu wa kipee, kama watu wangejkuwa wema wangewapa wanawake thamani zaidi.
Wanaume/watu hawajui vipi kujivunia wanawake na ndio sababu wanawake hawasikilizwi hata kama wana la kusema.
Ba watu wanajifanya vipofu ili kuweza kurahisisha ushahidi wao katika neema ya kutambua uzuri wa wanawake.
HONGERA WANAWAKE WOTE KATIKA DUNIA HII. PIA TUSIWASAHAU WANAUME KWANI BILA WAO UWEPO WETU HAUNGEKUWEPO.

Tuesday, March 8, 2011

LEO NI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI!!!!

Basi ngoja tusikiize ujumbe huu kutoka kwa Mrisho mpoto usemaye KWANI NI YEYE MAMA!!