
Hili ni kanisa langu ambalo wakati naishi Songea (mahenge) nilikuwa kila jumapili nakwenda kumshukuru mungu hapa. Ni Kanisa la Matogoro.

Na hapa ni kanisa ambalo nilipata Kipaimara wakati naishi ubenani. Ni kanisa la Maweso. Jumapili njema tena kwa wote.