Saturday, September 13, 2008

JUMAPILI NJEMA

Hili ni kanisa langu ambalo wakati naishi Songea (mahenge) nilikuwa kila jumapili nakwenda kumshukuru mungu hapa. Ni Kanisa la Matogoro.






Na hapa ni kanisa ambalo nilipata Kipaimara wakati naishi ubenani. Ni kanisa la Maweso. Jumapili njema tena kwa wote.

3 comments:

EDWIN NDAKI (EDO) said...

nami nimepita kukutakia jpili njema.

kila la kheri siku iwe nzuri kwako na familia yako

Kibunango said...

Kheee heee kheee Kumbe Ndaki upo... Haya!
Nakumbuka kidogo kuhusu Matogoro.. ipo milimani hivi,.. na kuna chuo cha ualimu...

Yasinta Ngonyani said...

sawa kabisa kaka Kibunango hujakosea. kumbukumbu nzuri